Mambo Yote Unayohitaji ili Ufaulu Mitihani yako ya Shule
Ili
uweze kufaulu mitihani yako ya shule unahitaji mambo matatu: Mwalimu sahihi,
Vitabu sahihi na mitihani ya kujipima.
Jifunze
zaidi mambo haya kwa kuingia katika kurasa nilizokuwekea hapa chini. Chukua
hatua katika kila hatua, utakachokipata kwa kufanya hivyo, ni ufaulu mzuri.
Soma:
Mwalimu Sahihi Atakayekufanya Ufaulu Mitihani yako
Soma:
Vitabu Sahihi Vitakavyokufanya Ufaulu Mitihani yako
Soma:
Jipime Maarifa yako kwa Kufanya Mitihani
Soma:
Jipatie Review za Mitihani ya NECTA