Vitabu Sahihi Vitakavyokufanya Ufaulu Mitihani Yako

Vitabu na simu
Ili uweze kufaulu mtihani, unahitaji kusoma vitabu sahihi.

Vitabu sahihi vina sifa zifuatazo:

1.   Vimeandikwa kwa kufuata silabasi.
2.   Vimetumia lugha rahisi.
3.   Vinaweza kujibu maswali mengi ya NECTA.
 

Utawezaje kutambua kuwa Vitabu ulivyonavyo siyo sahihi?

Hatua ya kwanza, chunguza kama unaposoma unaelewa au huelewi, endapo huelewi unaposoma, hicho siyo kitabu sahihi.

Hatua ya pili, chukua mtihani wowote wa NECTA. Tafuta majibu ya mtihani huo kwenye kitabu au notes ulizonazo, kama majibu mengi huyapati, achana na kitabu hicho, kitakufanya ufeli mtihani wako.

Endapo unahitaji vitabu sahihi vitakavyokufanya ufaulu mtihani wako, suluhisho limepatikana.

Vitabu vinapatikana katika mfumo wa nakala laini (soft copy). Na utatumiwa katika simu yako katika mfumo wa pdf.

Gusa Hapa kupata Vitabu sasa!

Popular posts from this blog

Jinsi ya Kuandika Barua ya Maombi ya Kazi Mwaka 2024

Jinsi ya Kuandika CV | Mfano wa CV Wasifu

Uhakiki wa Riwaya ya Watoto wa Maman’tilie