Posts

Maswali 140 Kujiandaa na Usaili Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II | Record Management

Image
Past Paper za Usaili Ajira Portal Record Management au Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II hazipatikani popote. Hili linawapa hofu wale walioitwa katika usaili wa mchujo. Katika usaili huu, wote tunakubaliana kwamba, utafanyika mtihani wa mchujo. Hakuna anayetaka kuishia hatua ya mchujo, hivyo kila mmoja anajiandaa kuhakikisha anapita hatua hii muhimu. Miongoni mwa maswali yanayoulizwa na watu wanaojiandaa na usaili huu, ni maswali gani yanatoka? Nisome wapi kufaulu usaili wangu? Na mengine mengi ambayo unayo. Japo Ajira Portal hawaweki wazi mitihani yao, wapo watu waliowahi kufanya mitihani ya aina hii na wakaona inavyokuwa. Katika mtihani unaokwenda kufanya, jiandae kwa kusoma mambo yanayohusu taaluma yako ambayo ni Record Management , kisha hakikisha una maarifa kuhusu matumizi ya kompyuta, internet na akili mnemba. Halafu malizia kwa kufanya mazoezi ya hesabu nyepesi. Maswali haya 140 yameandaliwa kwa kushirikisha watu mbalimbali wenye uzoefu na mambo ya Record Management tena amba...

Vunja Mbavu SMS za Vichekesho Utacheka Sana

Image
Kabla hujasoma vichekesho hivi, zikague vizuri mbavu zako. SMS hizi 20 za vichekesho , zitakufanya ucheke na uwe mwenye furaha tele. Huu ni mwendelezo wa vichekesho vinavyochekesha sana ambavyo huwezi kuvipata mahali pengine, isipokuwa hapa. 1. Upo na funguo zake au ukifika unaanza kugonga kama mtu wa taka? 2. Majirani wanashangaa kama hawajawahi kuona mtu anachinja kunguru. 3. Huyo mtu wako ipo siku atakupeleka kwao na mtafukuzwa wote. 4. Umetulia zako huna 'stress' mara ghafla unakumbuka umri wako. 5. Ubaya ulianza pale alipoambiwa, "si kwa ubaya, una kichwa kama mwiko." 6. Leo nimechoka kama mahusiano yako. 7. Sumbua mtu hata kama ana mtu, hakuna mtu wa mtu sisi ni watu wa Mungu. 8. Ukiwa huna hela, ukikunja nne mguu unakufa ganzi. 9. Tunakuzika na suti halafu ndotoni unatutokea na kanzu, ina maana suti yetu umeuza? 10. Mume wako yuko bar, anafungulia demu wake bia na pete yenu ya ndoa. 11. Ukimshitaki mtu polisi malizia hivi, "Alisema hata nikimshitaki hawao...

Viruses and Major Groups of Living Things | Biology Form 1 Topic

Image
There are many species of living organisms in the world. These organisms are placed in groups based on their common or shared characteristics. Each group has its own features that make it distinct from others. Viruses A virus is an extremely small fragment of nucleic acid (DNA or RNA) surrounded by a protein coat. It is smaller than a living cell. A virus is not a cell. Different types of viruses (a) Tobacco mosaic virus (b) Bacteriophage virus (c) Influenza virus Characteristics of viruses (a) They do not have a nucleus, cytoplasm, or cell organelle. (b) They have a simple structure consisting of a small piece of nucleic acid (DNA or RNA) surrounded by a protein coat called a capsid. Some viruses have viral envelopes. These are membranes enclosing capsids. The envelopes are made up of proteins from the host cell. (c) They cannot reproduce on their own. They must attack a host cell and use the materials in the cell to reproduce. This is called obligate parasitism. Obligate parasitism i...