Posts

Maswali ya Usaili TAKUKURU Oral Interview

Image
Baada ya usaili wa kuandika , wanaofaulu huingia hatua ya pili ambayo ni usaili wa mahojiano. Katika usaili huu, swali bado ni lilelile, maswali gani huulizwa? Makala hii inaeleza maswali yanayoulizwa katika usaili wa TAKUKURU . Lugha inayotumika hapa ni lugha ya kiingereza. Katika saili zao, huweza kutumia lugha yoyote kati ya Kiingereza au Kiswahili. Kuna wakati wanaweza kuongea kiingereza halafu wakabadilika na kutumia Kiswahili. Katika maswali haya, swali la kwanza ni lazima utakutana nalo, hivyo fanya mazoezi ya kutosha. 1. Tell me about yourself Thank you, Chairperson and honorable members of the panel, for this opportunity to introduce myself. My name is Daud Makoba Mhuli. I hold a degree from the University of Dar es Salaam, For years, I have worked as a teacher and content creator. Through this work, I have sharpened two critical skills that are vital for a TAKUKURU officer: deep analytical investigation and the ability to educate communities. I am here today because my person...

Uhakiki wa riwaya ya Dunia Uwanja wa Fujo

Image
Wasiliana na Mwalimu ili Kujiunga Darasa la Uhakiki wa Vitabu vyote vya Fasihi Mtaala Mpya kwa Kugusa Hapa Mwandishi: Euphrase Kezilahabi Mwaka: 1975 Mhakiki: Mwalimu Makoba Nilipofika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa ajili ya masomo yangu, mtu wa kwanza kutamani kumuona alikuwa ni Profesa Euphrase Kezilahabi. Nilimsoma katika kazi zake mbalimbali ikiwamo hii ya Dunia Uwanja wa Fujo. Nilianza msako mara moja wa kumtafuta Profesa Kezilahabi bila mafanikio. Baadaye niligundua kupitia kwa mwalimu wangu M.M. Mulokozi, ambaye aliwahi kuwa mwanafunzi wa Kezilahabi kwamba, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kilimfuta kazi Kezilahabi miaka mingi iliyopita! Mwishoni mwa miaka ya 1990 Kezilahabi aliomba likizo ya miaka miwili kwenda kufundisha Botswana . Alikubaliwa na akaenda Botwana mwaka 1995. miaka miwili ilipokwisha Botswana walimwongezea muda, akakiomba Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimwongezee muda lakini akakataliwa na kuambiwa arejee mara moja. Aliposhindwa kurejea alifutwa kazi na kujikuta ha...