Posts

Uhakiki wa Riwaya ya Ua la Faraja

Image
Wasiliana na Mwalimu ili Kujiunga Darasa la Uhakiki wa Vitabu vyote vya Fasihi Mtaala Mpya kwa Kugusa Hapa Mwandishi: W.E. Mkufya Mwaka: 2004 Mhakiki: Mwalimu Makoba Utangulizi Profesa Madumla akiizungumzia riwaya ya Ua la Faraja alisikika akisema, “Mkufya anajua kuitumia lugha ya Kiswahili vilivyo… ni fundi wa ujenzi wa taharuki.” Huwa sipendi kubishana na Profesa Madumla, lakini katika hili alidanganya. Haifahamiki kwa nini Madumla alidanganya, ila moja kati ya hoja hizi huenda ikawa kweli: pengine hakukisoma kitabu , na kama alikisoma, huenda kuna manufaa fulani aliyapata, kama hakuna kabisa manufaa yoyote, basi Madumla uzee umeanza kumwingia! Mkufya ni Mwanasayansi aliyeivamia sanaa, sanaa ikamgaragaza vilivyo, Ua la Faraja ni Riwaya ndefu kama andiko la tafiti za Kisayansi, ina kurasa 423! Ni kama riwaya yake mwenyewe ilikuwa ikimdhihaki na kumweleza, “Sanaa ina wenyewe!” Riwaya hii imekosa ujenzi wa taharuki, kila tukio linalofuata linatabirika na matukio mengine wala hayakupasw...

Passed Like a Shadow Novel Analysis

Image
Author: Bernald Mapalala Year: 2006 Literary Critic: Mwalimu Makoba Short story about the novel Atwoki comes from a poor family with an alcoholic father, but his natural talent for football changes his life. At a young age, he is selected to play for the national team. In the city, he meets a friend named David, who introduces him to a lifestyle of womanizing. After meeting Edda, a sex worker at a nightclub, Atwoki contracts HIV/AIDS. As his health declines, he can no longer play football and is forced to return home. Ultimately, the novel illustrates how the HIV/AIDS pandemic can shatter the dreams of a promising young man. Content Refer to what is being said in a literary work. It include the following: Themes, message, philosophy and conflict. Themes 1. Aids pandemic This disease is wiping the population indiscrimately. Adyeri, Amoti, David, Vicky, David father and mother, Aliganyira and Atwoki are example of the people who fall victim of the Aid pandemic. Pandemic diseases are...