Posts

Uhakiki wa Tamthiliya ya Usaliti Mjini

Image
Wasiliana na Mwalimu ili Kujiunga Darasa la Uhakiki wa Vitabu vyote vya Fasihi Mtaala Mpya kwa Kugusa Hapa Mwandishi: Francis Imbuga Mwaka: 1976 Mhakiki: Mwalimu Makoba Simulizi kwa Ufupi Tamthiliya hii inahusu harakati za wanajamii kupigania haki ikiwamo kupambana na uongozi mbaya uliokithiri. Wanafunzi wanafanya maandamano kupinga uongozi mbaya, katika maandamano hayo wanafunzi wengi wanauawa, miongoni mwao ni Adika.   Adika ana ndugu yake anayebaki hai, naye anaitwa Jaspa Wendo, mwanafunzi wa chuo kikuu. Mauaji haya yanafanyika kwa sababu ya uongozi mbaya wa Bosi, kiongozi wa Kafira. Bosi ambaye ndiye kiongozi mkuu, anashauriwa na binamu yake aitwaye Mulili. Uongozi wote mbaya, mshauri mkuu ni Mlili. Mwisho tunaona igizo likiandaliwa ili kutoa burudani. Waigizaji wanachaguliwa, miongoni mwao ni Jaspa Wendo. Mwingine ni Mosese, mhadhiri wa chuo kikuu aliyefungwa kwa kupinga maovu ya serikali. Katika igizo hilo, mwigizaji mmoja hakutokea, Bosi anachukua nafasi yake. Wanapopand...

History Form Four 2025 NECTA Examination

Image
Time: 3 Hours Instructions This paper consists of sections A, B and C with a total of eleven (11) questions. Answer all questions in sections A and B and two (2) questions from section C.   Section A carries sixteen (16) marks, section B fifty four (54) marks and section C carries thirty (30) marks.   All writing must be in blue or black ink except drawing which must be in pencil.   Communication devices and any unauthorized materials are not allowed in the examination room.   Write your Examination Number on every page of your answer booklet(s). Section A (16 Marks) Answer all questions in this section. For each of the items (i) – (x), choose the correct answer from among the given alternatives and write its letter beside the item number in the answer booklet(s) provided. (i) Many pre-colonial African societies handed down historical information by word of mouth from one generation to another. Which term befits such a source of historical information? A. Archaeolog...