Posts

Nafasi 65 za Kazi za Kujitolea HESLB

Image
Kuandikiwa Barua ya Maombi ya Kazi, CV na Barua ya Kueleza Kwa nini Unaomba Kazi HESLB, Wasiliana Nasi kwa Kugusa Hapa Nafasi hizi japo ni za kujitolea, zinatoa nafasi ya kuajiliwa baadae, hivyo, wenye sifa wanashauriwa kuomba. Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza nafasi za kujitolea  katika maeneo haya: Legal Services: 1 Vacancy Planning and Research: 2 Vacancies Loans Allocation and Disbursement: 3 Vacancies Procurement and Supply Management: 1 Vacancy Loan Repayment and Recovery: 20 Vacancies Information, Education and Communication: 3 Vacancies Accounts and Finance: 2 Vacancies Administration: 1 Vacancy Records Management: 30 Vacancies Electrical Installation: 1 Vacancy Plumbing and Pipe-fitting: 1 Vacancy Sifa za Kuomba Kazi HESLB Information, Education and Communication Bachelor’s Degree in Mass Communication, Public Relations, Journalism, Communication Studies or equivalent qualifications from recognized institutions. Good communication skills. Computer skills. ...

Maswali ya Geography Usaili Ajira za Walimu Mfumo Mpya

Image
Walimu wa Geography wategemee kukutana na maswali yanayohusu hesabu nyepesi, akili mnemba AI, Matumizi ya Kompyuta na maswali yanayohusu masuala ya ualimu. Maswali haya yametumia muda kuandaliwa, hayakuandaliwa haraka kwa kutumia akili mnemba, bali watu halisi wakiongozwa na Mwalimu , wamekaa chini na kuandaa kwa kuzingatia mfumo mpya wa maswali ya ajira za walimu. Huu ni mfano wa maswali hayo utakayokwenda kukutana nayo, mwalimu yeyote wa Geography atakayejiandaa kupitia maswali haya, anajihakikishia nafasi kubwa ya kuchaguliwa usaili wa mahojiono, yaani ‘selected for oral interview.’ 1. You are planning a lesson on "Volcanism." What should you determine first? A) Which video about eruptions to show the students. B) The learning objectives or goals students need to achieve. C) How many pages of the Geography textbook to cover. D) Which students are likely to fail the map-reading portion. Answer: B 2. To help students understand the "Spiral Curriculum " in Geograph...

Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi Jeshi la Wananchi JWTZ

Image
Jeshi la wananchi Tanzania limetangaza nafasi za kuandikishwa na jeshi hilo kwa vijana wenye baadhi ya sifa hizi: raia wa Tanzania, umri kuanzia miaka 18 mpaka 25 kwa kidato cha nne na sita na miaka isiyozidi 28 kwa wanaotoka vyuoni au elimu ya juu na awe na cheti cha jeshi la kujenga taifa kilichopatikana kwa kujitolea au kwa mujibu wa sheria. kuandika barua inayokubalika , kutakufanya uitwe katika usaili huu wa nafasi hizi ambazo zina waombaji wengi. Unapotuma maombi, anza na barua yako, Weka nakala ya kitambulisho chako cha NIDA ikifuatiwa na nakala ya cheti cha kuzaliwa, na vyeti vya shule, nakala ya cheti cha JKT, karatasi moja iliyoandikwa namba yako ya simu, kichwa cha habari kiwe, NAMBA YA SIMU YA MKONONI, halafu nenda posta kayatume maombi hayo katika anuani yao iliyoandikwa hapo kwenye mfano wa barua ya maombi JWTZ. Huu hapa mfano wa barua ya kuomba kuandikishwa katika Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ): Mtaa wa Kambangwa, S.L.P 1248, KINONDONI, DAR ES SALAAM. 1...

Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi TAKUKURU Ajira Mpya

Image
TAKUKURU  wametangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye sifa mbalimbali. Nafasi mpya za kazi zilizotangawa na TAKUKURU zinayahusu makundi mawili: Kundi la kwanza, Muombaji awe na angalau elimu ya shahada ya kwanza iliyotolewa na chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika moja ya fani zifuatazo: Uhasibu, Usanifu Majengo, Usimamizi wa Biashara, Usanifu wa Majengo, Ukadiriji wa Majengo (Quantity Surveying), Uhandisi wa Usindikaji wa Kemikali, Maendeleo ya Jamii, Sayansi ya Kompyuta/TEHAMA, Uhandisi wa Ujenzi, Uchumi na Mipango, Uhandisi wa Umeme. Lishe na Sayansi ya Chakula, Usimamizi wa Rasilimali Watu, Usimamizi na Tathmini ya Ardhi, Sheria, Uhandisi wa Mitambo, Uhandisi wa Mafuta na Gesi, Ununuzi na Ugavi, Usimamizi wa Miradi, Ushauri Nasaha, Utawala wa Umma, Mahusiano ya Umma/Mawasiliano ya Umma, Usimamizi wa Kumbukumbu, Sayansi ya Michezo/Elimu ya Viungo, Takwimu, na Uhandisi wa Maji. Soma: Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi JWTZ Kundi la pili: u...

Jinsi ya kuandaa Somo na Kuwasilisha Oral Interview Ajira za Walimu

Image
Nililia kwa uchungu, sikuamini kwamba, yote niliyomfanyia Ashura, mchepuko niliyekuwa na malengo naye, aliyaona hayafai. Ni mimi ndiye niliyempa mbinu zote za kufaulu usaili ajira za walimu , bidii yote na uwekezaji niliofanya, Ashura kaniacha! Niliisoma upya meseji yake ya mwisho, “Mwalimu Makoba, asante kwa msaada wako, ni wewe uliyenisaidia mpaka nimepata ajira ya ualimu mkoani Dodoma, hata hivyo, siwezi tena kuendelea na wewe kwa sababu mbili: kwanza, una mke na mimi sipo tayari kuwa mchepuko, ninahitaji maisha yangu; pili, nimepata mume mkulima wa zabibu tena anayeijua dini vizuri, wewe hueleweki dini yako; japo umesoma, lakini elimu imeshindwa kukubadilisha, bado unafuata tamaduni za Kisukuma ikiwemo kuabudu mizimu!” Nilipomaliza kuisoma, nililia upya, mke akaamka na kuniuliza shida nini? Nilidanganya, “Nimemkumbuka marehemu bibi!” Nilikumbuka jambo moja muhimu, msafara wa Rais ungepita karibu na mtaa wetu, na rais angesimama kusikiliza kero za wanachi. Nilitembea haraka nam...

Mbinu 4 na Maswali 50 Kusaidia Ufaulu Oral Interview Ajira za Walimu

Image
Kufanikiwa kufika oral interview ni jambo linalohitaji pongezi. Ni nafasi ya pekee ambayo inakuweka karibu kabisa na ajira. Hivyo, katika hatua hii, hutakiwi kufanya mchezo, fanya kila unavyoweza, lakini hakikisha unajiandaa vyema. Hii ni nafasi yako ya kupata ajira na huenda usiipate tena! Hapa ninakuandikia hatua kwa hatua, mbinu za kipekee zitakazokusaidia  kupata alama nyingi ‘oral interview’ ajira za walimu. Mbinu ya Kwanza Anza na mavazi. Utakapofika kitu cha kwanza kinachoonekana kabla hujaongea ni mavazi yako. Inasemekana kwamba, mavazi yana jumla ya alama tisa. Usiziache alama hizi hivyo hakikisha unavaa suruali yako pana ya kitambaa, shati safi, chomekea, chini vaa kiatu cheusi na usisahau kuvaa soksi. Mbinu ya Pili Hatua ya pili, utaambiwa uandae somo, utaandaa somo kutoka kichwani. Unapoandaa somo, hakikisha mwishoni unaandika ‘lesson plan’. Katika hatua hii, chagua somo kutoka mada yoyote unayoitaka, andaa somo kama unayeenda kufundisha, andaa na lesson plan, fanya ma...