Posts

Mtihani wa Kiswahili Kidato cha Nne 2023 1

Image
Muda:  Saa 3 Maelekezo 1.  Karatasi hii ina sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali 12. 2.  Jibu maswali yote katika sehemu A na B na maswali matatu kutoka sehemu C. 3.  Sehemu A in alama 15, sehemu B ina alama 40 na sehemu C ina alama 45. 4.  Zingatia maelekezo ya kila sehemu na ya kila swali. 5.  Simu za mkononi na vitu vyote visivyoruhusiwa havitakiwi katika chumba cha mtihani. 6.  Andika namba yako ya mtihani katika kila ukurasa wa kijitabu chako cha kujibia. Sehemu A (Alama 15) Jibu maswali yote katika sehemu hii. 1.  Chagua herufi ya jibu sahihi katika vipengele (i) hadi (x), kisha andika herufi ya jibu hilo kwenye kijitabu chako cha kujibia. (i)  “Kushindana na mtu aliyekuzidi kwa kila hali si busara.” Methali zifuatazo zinashabihisha kauli hii isipokuwa: A Mwenye pesa si mwenzio B Nazi haishindani na jiwe C Chanda chema, huvikwa pete D mwenye nguvu mpishe E Maji yakija kasi yapishe (ii)  Bainisha sentensi yenye vielezi zaidi ya kimoja katika sentensi zifuatazo: A vitabu vyangu

History Form Four Examination 2023 1

Image
Time: 3 Hours Instructions 1.  This paper consists of section A, B and C with a total of nine questions. 2.  Answer all questions in section A and B and three questions from section C. 3.  Section A carries 20 marks; section B carries 35 marks and section C carries 45 marks. 4.  Cellular phones and any unauthorized materials are not allowed in the examination room. 5.  All drawings should be in pencil. 6.  Write your examination number on every page of your answer booklet(s). Section A (20 Marks) Answer all questions in this section. 1.  For each of the item (i)-(xv), choose the correct answer from among the given alternatives and write its letter beside the item number in the answer booklet provided.   (ii)  Who studies the society's cultural system, behavior, beliefs and ideologies? A Archaeologists B Linguists C Anthropologists D Humanitarians E Philanthropists (ii) By 1914, European powers had managed to establish effective colonial control in Africa. In which decade was that y