Huwezi kufaulu mtihani bila kuangalia mitihani ya NECTA ilivyo na jinsi inavyojibiwa. Chini, nimekuwekea Review kulingana na masomo mbalimbali, chagua unayotaka kisha soma.
Kitaalamu Zaidi, Naweza Kukuandikia Barua ya Maombi ya Kazi na CV Uitwe Katika Usaili na Upate Kazi kwa Tsh. 8,000/= tu. Barua Tsh. 3,000/= na CV Tsh. 5,000/=. Gusa Hapa Kuwasiliana Nami. CV au wasifu ni kitu cha lazima kwa yeyote anayeomba kazi. Watu wengi wanaokosa kazi, tatizo huwa siyo wao, bali tatizo huwa ni CV zao. Kumekuwa na makosa mengi katika uandishi wa CV jambo ambalo limesababisha watafuta kazi wengi kushindwa kuitwa kwenye usaili. Makala hii itakueleza namna sahihi ya kuandika CV, utaitwa katika ‘interview’ nyingi endapo utaandika CV sahihi. Tena nakukumbusha, kila taaluma ina aina yake ya CV, CV ya rubani haifanani na CV ya injinia. Vivyo hivyo, CV ya mpishi haifananani na CV ya Mwalimu. Pia nakukumbusha usome jinsi ya kuandika barua ya maombi ya kazi , kwani CV huenda pamoja na barua ya maombi ya kazi. Hatua ya kwanza nitaonesha mfano wa CV kwa lugha ya Kiswahili na hatua ya pili nitaonesha mfano wa CV kwa lugha ya Kiingereza halafu utachagua mwenyewe utumie lug
Kitaalamu Zaidi, Naweza Kukuandikia Barua ya Maombi ya Kazi na CV Uitwe Katika Usaili na Upate Kazi Kwa Tsh. 8,000/= tu. Barua Tsh. 3,000/= na CV Tsh. 5,000/=. Gusa Hapa Kuwasiliana Nami. Umewekeza katika elimu yako, una kila sifa ya kupata kazi fulani lakini hupati kazi hiyo, inawezekana kabisa sababu mojawapo inayokufanya usipate kazi unayoitaka ni kutokujua kuandika barua ya maombi ya kazi au unapoandika, unaandika katika namna mbaya inayofanya waajiri wakupuuze. Kwa muda mrefu nimekuwa nikiulizwa na wanafunzi na wasomaji wa mtandao wangu kuhusu jinsi ya kuandika barua ya maombi ya kazi kwa kiswahili, na wengine huuliza kuhusu jinsi ya kuandika barua ya maombi ya kazi kwa kiingereza. Waombaji wengi huuliza kuhusu maombi ya kazi ya udereva, hotelini, kazi za polisi, ualimu, afya utendaji wa kijiji na kazi chungu nzima ambazo haziwezi kutosha hapa zikiandikwa. Kazi zote siku hizi zinahitaji kuandika barua, hata kama unataka kujitolea, lazima utaandika barua! Isivyo bahati ni kuw
RIWAYA: TAKADINI MWANDISHI: BEN J HANSON WACHAPISHAJI: METHEWS BOOKSTORE AND STATIONERS MWAKA: 2004 MHAKIKI: DAUD MAKOBA Muhtasari wa Riwaya Takadini ni riwaya inayojaribu kuzungumzia matatizo ya mila na desturi yaliyopo katika jamii za Kiafrika hasa sehemu za vijijini. Mwandishi anamuonyesha mhusika mkuu Takadini aliyezaliwa na ulemavu wa ngozi jinsi anavyotengwa na watoto, watu wazima na jamii yote kwa ujumla. Mwisho tunamuona Takadini akipendwa na msichana Shingai. Pamoja na vikwazo vingi, penzi la Shingai na Takadini halikufa. Baadae Shingai anapata mimba ya Takadini, kisha anajifungua mtoto asiye mlemavu. Hapo wana jamii wanashangazwa na kujikuta wakiamini kuwa hata mlemavu anaweza kuzaa mtoto asiyemlemavu. Uchambuzi wa Fani na Maudhui Maudhui Katika Riwaya ya Takadini Dhamira Ukombozi wa Kiutamaduni Utamaduni ni jumla ya maisha ya jamii. Katika jamii ya Zimbabwe watu wenye ulemavu hawakuruhusiwa kuishi, waliuawa kikatili. Ni katika jamii hii pia, watu walien