Huwezi kufaulu mtihani bila kuangalia mitihani ya NECTA au inayofanana nayo na jinsi inavyojibiwa. Chini, nimekuwekea Review kulingana na masomo mbalimbali, chagua mitihani unayotaka kisha soma.
Tumekukusanyia mkusanyiko wa vichekesho vinavyochekesha sana. Vichekesho hivi, vitakufanya ufurahi muda wote, ni vizuri zaidi, uki’share’ na wenzako. 1. Huu mwezi mwenye nyumba aje atoe nyumba yake kwenye vitu vyangu, sina kodi. 2. Nimetoa vyombo nje nifanye usafi, kurudi naambiwa gari la taka limebeba. 3. Kwa jinsi maisha yalivyo magumu siku hizi unajikuta wewe ndiyo unamuamsha jogoo. 4. Chakula chenyewe unakipata kwa mateso halafu bado unakiwekea pilipili, una tatizo gani mkuu? 5. Mtu anakuja kuniomba elfu 20 kweli! Unaniombaje nusu ya utajiri wangu? 6. Daktari: Bia inatanua moyo. Walevi: imeshindwa kutanua chupa itatanua moyo? 7. Nimeota nakula tambi, kuamka sizioni "earphone" zangu. 8. Taja faida kwa nini unaishi peke yako. Hakuna wa kuniuliza kwa nini pazia nafutia sahani. 9. Leo mwizi kapigwa mpaka kasema, "mawe yanauma, nipigeni makofi.” 10. Hasira mnatoa wapi wakuu, fikiria mtu anaua kipepeo. 11. Bongo movie imen...
JINA LA KITABU; WASAKATONGE MWANDISHI; MUHAMMED SEIF KHATIB MCHAPISHAJI; OXFORD UNIVERSITY PRESS MWAKA; 2003 Utangulizi Wasakatonge ni diwani inayozungumzia hali ngumu ya maisha. Matatizo anayoyataja mshairi ni magumu kutibika mfano wa saratani, hata hivyo wananchi wakiungana na kupambana pamoja jamii mpya yenye misingi ya usawa itapatikana. Maudhui Maudhui yamejengwa na vipengele vidogo kama; Dhamira 1. Uongozi mbaya Jamii nyingi za kiafrika zinakabiliwa na suala la uongozi mbaya. Wapo viongozi ambao hawataki kuachia madaraka kama ilivyooneshwa katika shairi la MADIKTETA, “Mizinga nayo mitutu, haitoi risasi, hutoa maraisi, walio madikteta.” Ni ukweli kuwa viongozi madikteta ndio chanzo cha kukosekana kwa maendeleo katika bala la Afrika. 2. Matabaka Migogoro mingi inaibuka katika jamii kati ya tabaka la wenye nacho na tabaka la wasionacho katika kugombea mahitaji ya kila siku. Katika shairi la TONGE LA UGALI, mshairi anasema, “wanapigana...
Ameady School ni Shule mpya ambayo inapanga kufanya mapinduzi makubwa katika elimu nchini Tanzania , hivyo, tunahitaji walimu wenye ari ya kufanya kazi, vipaji halisi vya ufundishaji na moyo wa ushindani na kujituma. Tunakaribisha maombi ya kazi ya walimu awamu ya kwanza katika nafasi zifuatazo: Walimu Wa Masomo Haya Wanahitajika: Physics (Nafasi 4) Mathematics (Nafasi 4) Biology (Nafasi 4) Chemistry (Nafasi 4) History (Nafasi 4) Kiswahili (Nafasi 4) English (Nafasi 4) Academic Communication (Nafasi 2) Historia ya Tanzania na Maadili (Nafasi 2) Sifa za Waombaji Waombaji wote wawe na shahada katika Elimu ( Bachelor Degree ) kutoka chuo chochote kinachotambulika na serikali. Muda wa Kupokea Maombi Maombi yatapokelewa kuanzia tarehe 23 Mei, 2026. Jinsi ya Kutuma Maombi Yako: Tuma CV Yako Pekee, CV Zitasomwa na Mashine, Hakikisha CV Yako Inafuata Mfumo wa ATS (ATS Friendly Resume). CV Zote Zitumwe Katika Email Hii: fifeha5185@ameady.com Usipoitwa ndani ya mwezi mmoja baada ya kutuma CV yak...