Jipime Maarifa yako kwa Kufanya Mitihani
Kabla
hujafanya mtihani wako wa mwisho, ni lazima ujipime kwa kufanya mitihani mingi.
Pia,
pitia mitihani iliyopita (past papers) kwani humo utaweza kuona jinsi mitihani
inavyotoka.
Kujipima
kwa kufanya mitihani, kutakufanya uwe na uzoefu wa mitihani na uweze
kurekebisha makosa yako kabla mtihani wa mwisho haujafika.
Endapo
unahitaji mitihani ya kujipima, jipatie kwa kugusa hapa.