Tangazo la Kazi ya Ualimu

Watu wakipeana barua

Nafasi

Mwalimu wa Physics, Chemistry, Mathematics.

Mwalimu wa Biology na Geography.

Sifa

- Shahada ya Elimu kutoka chuo chochote kinachotambulika na serikali.

- Ajue kutumia Computer.

- Anayeishi Dar es Salaam atapewa kipaumbele.

Majukumu

- Kuandaa notes.

- Kufundisha.

Jinsi ya kuomba

Tuma CV pekee kwenda email: daudmakoba@rocketmail.com, au Kwa njia ya WhatsApp namba: 0754 89 53 21

Popular posts from this blog

Maswali 100 Kujiandaa na Usaili Tume ya Utumishi wa Mahakama

SMS 20 za Mahaba Makali Kumtumia Mpenzi Wako

SMS 20 za Vichekesho Zinazochekesha Sana