Jipatie Mwalimu wa Kukufuata Nyumbani Kwako
Fundishwa
kwa kufuatwa nyumbani ukiwa popote ndani ya jiji la Dar es Salaam.
Anaweza
akawa mwanao au wewe mwenyewe! Mimi na walimu wangu, tupo tayari kukusaidia.
Masomo
ni kwa ngazi zote za elimu yaani kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari.
Gharama
za masomo zinategemea umbali alipo mwanafunzi.
Endapo
unahitaji masomo, wasiliana na Mwalimu Makoba kwa kugusa hapa.