Jipatie Mwalimu wa Kukufuata Nyumbani Kwako

Fundishwa kwa kufuatwa nyumbani ukiwa popote ndani ya jiji la Dar es Salaam.

Anaweza akawa mwanao au wewe mwenyewe! Mimi na walimu wangu, tupo tayari kukusaidia.

Masomo ni kwa ngazi zote za elimu yaani kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari.

Gharama za masomo zinategemea umbali alipo mwanafunzi.

Endapo unahitaji masomo, wasiliana na Mwalimu Makoba kwa kugusa hapa.


Popular posts from this blog

SMS 20 za Vichekesho Zinazochekesha Sana

Vichekesho vya Kuchekesha na Kuvunja Mbavu 1

Uhakiki wa Tamthiliya ya Kilio Chetu