Maswali Katika Riwaya ya Takadini

Maswali Katika Riwaya ya Takadini

Jibu maswali yote

1. Chagua jibu sahihi
i. Takadini anataka kuuliwa na jamii yake kwa sababu ya

a. Dhambi za Sekai b. Mila na desturi c. Amri ya mizimu d. Kutoitakia mema nchi yake

ii. Ni kipi chanzo cha mgogoro wa Shingai na wazazi wake

a. Kukataa kuolewa na Takadini b. Kukataa kuolewa na Nhamo c. Uvivu na uzembe wa kazi d. Lugha chafu

iii. Alimpiga mkewe kila siku kwa sababu alimwona dhaifu na duni

a. Nhariswa b. Dadrai c. Manyamombe d. Mukaru

iv. Mwandishi wa riwaya ya Takadini ni
a. Mussa Banzi b. Penina Mhando c. Vivian Mmari d. Ben Hanson

v. Riwaya ya Takadini ilipata kuandikwa huko nchini
a. Zimbabwe b. Tanzania c. Malawi d. Cameroon

2. Andika kweli au si kweli

i. Walemavu wana haki ya kuishi kama watu wengine

ii. Ujasiri utaondoa unyanyasaji wa watu wenye ulemavu

iii. Dadrai ana.anamzalia Takadini mtoto asiye ba ulemavu wowote.

iv. Riwaya ya Takadini imetumia wahusika wa kiume pekee.

v. Nhamo ana mapenzi ya kweli kwa Takadini.

3. Ni ipi falsafa ya mwandishi Ben J Hanson

4. Jadili sababu nne za mgogoro wa Nhamo na Takadini

5. Yaliyotokea katika kitabu cha Takadini yana uhusiano wowote na jamii yako? Jadili.

Popular posts from this blog

Jinsi ya Kuandika CV | Mfano wa CV Wasifu

Jinsi ya Kuandika Barua ya Maombi ya Kazi Mwaka 2024

Jinsi ya Kuandika Risala | Kiswahili Kidato Cha Nne