English Pre Necta| 20 Oct 2017
Maelekezo ya mtihani huu
i.
Jibu
maswali yote.
ii.
Usifanye
udanganyifu katika mtihani huu. Lengo la mtihani siyo kuuona uwezo wako wa
kupata A, bali kutambua kipi kinachokusumbua katika somo hili ili uweze kusaidiwa.
Jinsi ya kufanya mtihani huu wa online na usahihishaji wake
- Andika
majibu yako katika karatasi yoyote utakayoona inafaa kujibia.
- Ukimaliza
kufanya mtihani, piga picha majibu yako katika karatasi zote ulizotumia kisha
tuma picha hizo kwa njia ya WhatsApp kwenda namba 0754 89 53 21 ili ziweze
kusahihishwa
- Karatasi
zitakazosahihishwa ni zile zitakazokuwa zimelipiwa kiasi cha shilingi 1,000
(elfu moja). Namba za malipo ni MPESA 0754 89 53 21 na TIGO PESA 0653 25 05 66.
Hata hivyo kama huna uwezo kabisa wa kulipia gharama hiyo, unashauriwa ufanye
mtihani huu kisha umpatie mwalimu yeyote aliyekaribu nawe asahihishe kazi yako.
Kwa kuwa kiwango cha malipo ni kidogo sana, ni vizuri zaidi kama utasahihishwa
na timu yetu.
- Kwa
kuwa lengo la mtihani huu ni kubaini matatizo yanayomsumbua mwanafunzi katika
somo hili ili tuweze kuyaondoa mapema na kumsaidia mwanafunzi husika kufaulu na
kupata maarifa stahiki, suala la muda halijazingatiwa, hivyo unaweza ukafanya
kwa wakati wowote utakavyoona inafaa.
- Uwezo
wa wanafunzi huwa haufanani siku zote. Masahihisho ya mtihani yatafanyika kwa
mwanafunzi mmojammoja kadri ya mapungufu yake yaliyojitokeza. Hata hivyo,
maswali yenye changamoto zaidi yatajadiliwa katika kundi la WhatsApp la
mwalimumakoba online. Bofya hapa kujiunga
SASA FANYA MTIHANI WAKO: KUMBUKA KUJIBU MASWALI YOTE
1. Read and summarize the following passage in five
sentences in single paragraph.
The
best team leaders do the biz. They make a difference. They motivate their
people to perform exceptionally well and achieve the required results on a
daily basis as well as in the longer term. These bosses understand what the biz
is all about and so do their teams.
They
are focused and they have flair. They have the energy and they have the edge.
Furthermore, they have fun when they are fighting hard to deliver the goods. That’s
the biz.
It’s
all about delivering and making things happen—for customers, for team members,
for the company, and of course for themselves. The biz is not simply a matter
of implementing grand strategies and pursuing long-term visions.
Nor
does it involve intellectual debate about the values to be applied in the way
the organization is managed and customers are handled. The biz is a
matter of daily operations, of the little things that the best bosses do and
think on a minute-by-minute basis that have such a big impact on the teams they
manage.
2.
Choose the correct word from the given
list below to fill in the blanks in the following sentences: whose, that, any, whichever, him, I, me,
who
(a)
My teacher gave me and ___________ the homework.
(b)
___________ of you can do this assignment.
(c)
Mwasiti is taller than __________.
(d)
My father and __________ are leaving to Europe tonight.
(e)
I know the girl __________ left a message for you.
(f)
Is this?__________ handwriting
(g) This is the girl __________ I talked
about.
(h)
I shall give you __________ you like.
3.
Rewrite the following sentences according to the instructions given after each.
(a)
I am a teacher. (Rewrite the sentence by using a question tag)
(b)
We are waiting for her. (Rewrite the sentence by using present perfect
continuous tense)
(c)
You should work hard to get a first class. (Begin: If __________)
(d)
I saw Martha talking to her mother. (Rewrite the sentence by using when)
4.
In not more than 250 words, write a narrative on “the last journey of my
life”.
5.
Read this poem and answer the questions bellow
To
be brought brother
When
the people to whom
We
have entrusted power
Are
corrupt?
I
plead the stomachs of the privileged few
Greater
than the Rift Valley;
They
cannot be satisfied
With
a normal share
I
plead the thirst
OF
the minority
Greater
than that of the Sahara;
Questions
(a)
What is the poem about?
(b)
Is the persona happy in this poem? Give reasons.
(c)
How many stanzas are there?
(d)
What are the possible two themes in this poem?
(e)
Show the relevance of the themes portrayed in this poem to your society.
6.
Suggest themes which can be drown from the two plays you have read under this
section. Give four themes from each play.
7. “Ignorance
spread like a burning fire in the forest.” Verify this statement using two novel you have read.