English Pre Necta| 20 Oct 2017


Maelekezo ya mtihani huu

i.             Jibu maswali yote.
ii.            Usifanye udanganyifu katika mtihani huu. Lengo la mtihani siyo kuuona uwezo wako wa kupata A, bali kutambua kipi kinachokusumbua katika somo hili ili uweze kusaidiwa.

Jinsi ya kufanya mtihani huu wa online na usahihishaji wake

  Andika majibu yako katika karatasi yoyote utakayoona inafaa kujibia.
- Ukimaliza kufanya mtihani, piga picha majibu yako katika karatasi zote ulizotumia kisha tuma picha hizo kwa njia ya WhatsApp kwenda namba 0754 89 53 21 ili ziweze kusahihishwa
- Karatasi zitakazosahihishwa ni zile zitakazokuwa zimelipiwa kiasi cha shilingi 1,000 (elfu moja). Namba za malipo ni MPESA 0754 89 53 21 na TIGO PESA 0653 25 05 66. Hata hivyo kama huna uwezo kabisa wa kulipia gharama hiyo, unashauriwa ufanye mtihani huu kisha umpatie mwalimu yeyote aliyekaribu nawe asahihishe kazi yako. Kwa kuwa kiwango cha malipo ni kidogo sana, ni vizuri zaidi kama utasahihishwa na timu yetu.
- Kwa kuwa lengo la mtihani huu ni kubaini matatizo yanayomsumbua mwanafunzi katika somo hili ili tuweze kuyaondoa mapema na kumsaidia mwanafunzi husika kufaulu na kupata maarifa stahiki, suala la muda halijazingatiwa, hivyo unaweza ukafanya kwa wakati wowote utakavyoona inafaa.
- Uwezo wa wanafunzi huwa haufanani siku zote. Masahihisho ya mtihani yatafanyika kwa mwanafunzi mmojammoja kadri ya mapungufu yake yaliyojitokeza. Hata hivyo, maswali yenye changamoto zaidi yatajadiliwa katika kundi la WhatsApp la mwalimumakoba online. Bofya hapa kujiunga

SASA FANYA MTIHANI WAKO: KUMBUKA KUJIBU MASWALI YOTE

1.   Read and summarize the following passage in five sentences in single paragraph.
The best team leaders do the biz. They make a difference. They motivate their people to perform exceptionally well and achieve the required results on a daily basis as well as in the longer term. These bosses understand what the biz is all about and so do their teams.
They are focused and they have flair. They have the energy and they have the edge. Furthermore, they have fun when they are fighting hard to deliver the goods. That’s the biz.
It’s all about delivering and making things happen—for customers, for team members, for the company, and of course for themselves. The biz is not simply a matter of implementing grand strategies and pursuing long-term visions.
Nor does it involve intellectual debate about the values to be applied in the way the organization is managed and customers are handled. The biz is a matter of daily operations, of the little things that the best bosses do and think on a minute-by-minute basis that have such a big impact on the teams they manage.

2.   Choose the correct word from the given list below to fill in the blanks in the following sentences: whose, that, any, whichever, him, I, me, who
(a) My teacher gave me and ___________ the homework.
(b) ___________ of you can do this assignment.
(c) Mwasiti is taller than __________.
(d) My father and __________ are leaving to Europe tonight.
(e) I know the girl __________ left a message for you.
(f) Is this?__________ handwriting
 (g) This is the girl __________ I talked about.
(h) I shall give you __________ you like.

3. Rewrite the following sentences according to the instructions given after each.
(a) I am a teacher. (Rewrite the sentence by using a question tag)
(b) We are waiting for her. (Rewrite the sentence by using present perfect continuous tense)
(c) You should work hard to get a first class. (Begin: If __________)
(d) I saw Martha talking to her mother. (Rewrite the sentence by using when)

4. In not more than 250 words, write a narrative on “the last journey of my life”.
5. Read this poem and answer the questions bellow
To be brought brother
When the people to whom
We have entrusted power
Are corrupt?
I plead the stomachs of the privileged few
Greater than the Rift Valley;
They cannot be satisfied
With a normal share
I plead the thirst
OF the minority
Greater than that of the Sahara;

Questions


(a) What is the poem about?
(b) Is the persona happy in this poem? Give reasons.
(c) How many stanzas are there?
(d) What are the possible two themes in this poem?
(e) Show the relevance of the themes portrayed in this poem to your society.

6. Suggest themes which can be drown from the two plays you have read under this section. Give four themes from each play.
7. “Ignorance spread like a burning fire in the forest.” Verify this statement using two novel you have read.

Popular posts from this blog

Jinsi ya Kuandika CV | Mfano wa CV Wasifu

Jinsi ya Kuandika Barua ya Maombi ya Kazi Mwaka 2024

Jinsi ya Kuandika Risala | Kiswahili Kidato Cha Nne