JIUNGE NA KUNDI LETU LA WHATSAPP UJIBIWE MASWALI YAKO YOTE!
Jiunge katika kundi la WhatsApp
la ‘MwalimuMakoba online’ ukutane uso kwa uso na Mwalimu Makoba akiwa na
wanafunzi wengine tayari kwa kuyajibu maswali yako.
Kundi hili linajumuisha wanafunzi
kutoka nchi nzima na hata nje ya nchi. Na linaendesha mijadala mbalimbali
ambayo ni msaada mkubwa kwa wanafunzi wanaotaka kufanikiwa katika masomo.
Jinsi ya kujiunga
Nitumie ujumbe wowote unaoomba
kuunganishwa katika kundi hili kwenye namba 0754 89 53 21.
Kwa mfano: UNGA MWALIMU MAKOBA
Nami nitakuunganisha mara moja.
MWALIMU MAKOBA