VICHEKESHO 10 VILIVYOTUFIKIA WIKI HII

*Hivi ushawahi penda msichana hadi mkiwa church unamlipia sadaka...unaweka kwa kikapu alafu unamwambia mchungaji kwa ishara ya vidole kuwa sadaka uliyotoa ni."Ya wawili?* "..

ikifikia hatua hii basi ujue kazi ya moyo ni kusukuma CHAPATI πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
XXX

*Dangote Tajiri wa Africa nzima Anamiliki Viwanda na Vitega Uchumi Kibao Lakini Ana Demu mmoja tu*

```Wewe Unamiliki Kitanda Godoro Tv na kasabufa ka Elfu 70 tu Eti una Mademu 20```

     *ACHA BANGI BRAZA*
XXX

ILI KULINDA NDOA YAKO... HAKIKISHA

1. Unaoga na mkeo
2. Ukishindwa, basi oga na simu yako...

XXX

UJINGA NI NINIπŸ€”πŸ€”πŸ€”



Ujinga ni pale unapomaliza darasa la saba bila kujua..
Sifuri kwa kirumi inaandikwaje..
🚢🚢🚢🚢
XXX

*Je ushawahi kufanyiwa homework na mzazi halafu unapata zero?*
😁😁😁😁😁
*Hapo ndio utajua kuwa kumbe tatizo sio wewe!!*
🚢🏼🚢🏼🚢🏼🚢🏼🚢🏼
XXX

FACT

Ukitaka kutetemeka had sehemu za siriπŸ™ˆπŸ™ˆ
panda trektaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
XXX

*Kumbe bangi haina madhara yoyote bana,nimejaribu kupiga pafu tatu usiku huu na Niko vizur tu nimekaa juu ya tv naangalia masofa yangu,*.
XXX

*Hapo ulipo hakuna hata anesema wewe ni mzuri ila iba uone*

*Utasikia "halafu mkaka mwenyewe mzuri tu sijui kwanini anaiba"*πŸ˜‚
XXX

*Samahani, Eti katika kutembea tembea kwako ulishawahi kusikia MMASAI anayezungumza kwa BESI*πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
XXX

*Niliwahi kusikia kuwa maji na mafuta havichangamani, na pia mafuta huwa yanaelea juu ya maji*..... *Basi jana mimi nikaamua kupaka mafuta mengi tu miguuni kisha nikaingia baharini ili niweze kutembea juu ya maji maana nilihisi ningeelea na kuweza kufanya chochote*.
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€” *sikumbuki nini kilitokea lakini nilijikuta nimelala mchangani watu wakiwa wamenizunguka huku wakisema niwashukuru sana wavuvi*. *Nadhani watakuwa wamenipa samaki wa bure*

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
XXX

HELLOW
*jamani nimepotea halaf sijui niliko atakaeniona atoe taarifaa*

πŸ™†‍♂πŸ™†‍♂πŸ™†‍♂πŸ™†‍♂πŸ™†‍♂πŸ™†‍♂πŸ™†‍♂πŸ™†‍♂
XXX

Zamani ukichukuliwa msukule unaenda kulima, siku hizi unachukuliwa msukule unaenda kuBet.πŸ˜†
XXX

Vichekesho hivi vimechukuliwa kutoka katika mtandao wa WhatsApp na watunzi wake hawakuweza kufahamika.





Popular posts from this blog

Jinsi ya Kuandika CV | Mfano wa CV Wasifu

Jinsi ya Kuandika Barua ya Maombi ya Kazi Mwaka 2024

Jinsi ya Kuandika Risala | Kiswahili Kidato Cha Nne