VICHEKESHO 10 VILIVYOTUFIKIA WIKI HII
*Hivi ushawahi penda msichana hadi mkiwa church
unamlipia sadaka...unaweka kwa kikapu alafu unamwambia mchungaji kwa ishara ya
vidole kuwa sadaka uliyotoa ni."Ya wawili?* ".. ✌
ikifikia hatua hii basi ujue kazi ya moyo ni kusukuma
CHAPATI ππππ
XXX
*Dangote Tajiri wa Africa nzima Anamiliki Viwanda na
Vitega Uchumi Kibao Lakini Ana Demu mmoja tu*
```Wewe Unamiliki Kitanda Godoro Tv na kasabufa ka
Elfu 70 tu Eti una Mademu 20```
*ACHA BANGI
BRAZA*
XXX
ILI KULINDA NDOA YAKO... HAKIKISHA
1. Unaoga na mkeo
2. Ukishindwa, basi oga na simu yako...
⚔
XXX
UJINGA NI NINIπ€π€π€
Ujinga ni pale unapomaliza darasa la saba bila kujua..
Sifuri kwa kirumi inaandikwaje..
πΆπΆπΆπΆ
XXX
*Je ushawahi kufanyiwa homework na mzazi halafu
unapata zero?*
πππππ
*Hapo ndio utajua kuwa kumbe tatizo sio wewe!!*
πΆπΌπΆπΌπΆπΌπΆπΌπΆπΌ
XXX
FACT
Ukitaka kutetemeka had sehemu za siriππ
panda trektaπππππππππ
XXX
*Kumbe bangi haina madhara yoyote bana,nimejaribu
kupiga pafu tatu usiku huu na Niko vizur tu nimekaa juu ya tv naangalia masofa
yangu,*.
XXX
*Hapo ulipo hakuna hata anesema wewe ni mzuri ila iba
uone*
*Utasikia "halafu mkaka mwenyewe mzuri tu sijui
kwanini anaiba"*π
XXX
*Samahani, Eti katika kutembea tembea kwako ulishawahi
kusikia MMASAI anayezungumza kwa BESI*ππππππππππππ
XXX
*Niliwahi kusikia kuwa maji na mafuta havichangamani,
na pia mafuta huwa yanaelea juu ya maji*..... *Basi jana mimi nikaamua kupaka
mafuta mengi tu miguuni kisha nikaingia baharini ili niweze kutembea juu ya
maji maana nilihisi ningeelea na kuweza kufanya chochote*.
π€π€π€π€ *sikumbuki nini kilitokea lakini nilijikuta nimelala
mchangani watu wakiwa wamenizunguka huku wakisema niwashukuru sana wavuvi*.
*Nadhani watakuwa wamenipa samaki wa bure*
ππππππππππ
XXX
HELLOW
*jamani nimepotea halaf sijui niliko atakaeniona atoe
taarifaa*
π♂π♂π♂π♂π♂π♂π♂π♂
XXX
Zamani ukichukuliwa msukule unaenda kulima, siku hizi
unachukuliwa msukule unaenda kuBet.π
XXX
Vichekesho hivi vimechukuliwa kutoka katika mtandao wa WhatsApp na watunzi wake hawakuweza kufahamika.