VICHEKESHO 10 VILIVYOTUFIKIA WIKI HII
1. *Manπ³πΏ: Marry me?*
*Womanπ©π»: Do you have a
flat?π‘*
*Man:π³πΏ No*.
*Womanπ©π»: Do you have a*
*Camry car?π*
*Manπ³πΏ: No.*
*Womanπ©π»: How much is
your salary?π΅πΈ*
*Manπ³πΏ: No salary, but
I....!*
*Womanπ©π»: No but Wat....
! You have nothing. How can I marry you? Leave please b4 I open eye πfor u!*
*Manπ³πΏ: But I have one
estateππ π―, 3 landed properties in GRAπππ, 3 Ferrarisπππ, 2 Porschesππ and 2 G wagonππ. Why do I still need to buy Camryπ. How can I be paid salaryπΈπ΅ when actually I'm
the BOSS...*
*Womanπ©π»: that's why I
told you to leave, cause am coming to your house myself to propose to you....*
πππππππππππππππ
Pass to another group make them laugh
πππππ off to another group.....
ππππππ
ππππππ
πππ
XXX
2. UJINGA WA NDOTO NDIO HUU
**Utaota umeokota dolla ukiamka empty
**Utaota umeokota dhahabu ukiamka kitandani patupu
**Dadadeeki Ota sasa Umekojoa,ukiamka Imooooo!!!
XXX
*_Mwalimu Wa Hesabu Aliingia Dalasani Na Akaanza
Kumuuliza Juma Swali_*
Mwalimu:juu Ya Mti Kuna Ndege 20 Ukiichukua Bunduki
Ukawapiga Ndege 2 watabaki wangapi?
Juma: hawata baki wote wataluka kwa kuogopa mlio wa
bunduki
Mwalimu: hapana umekosa watabaki ndege 18 ILA
nimependa ulivyojibu umewaza mbalii
Juma: sawa mwalimu nami naomba nikuulize swali
Juma: kuna wadada wawili walinunua chocklet mmoja
akawa ananyonya mwingine akawa analamba we unahisi yupi ni mke wa mtu?
Mwalimu: nadhani mke wa mtu ni yule anaye nyonya
Juma: hapana mke wa mtu ni yule mwenye pete ya ndoa ila
nimependa ulivyojibu umewaza mbaliii
Ukileta uchizi .....tunakusogezea ujingaaaπππππ€π€ππ
XXX
3. KINGEREZA NI WITO NYIEEE:kuna jamaa flan alikua
anauza mbuzi za kukunia naziπ°.yani kibao cha naz. Ghafla
mzungu akatokeza
MZUNGU:jamboo
JAMAA:jambo
MZUNGU:what is this my friend
JAMAA:this is goat for kwaru kwaru coconut,,,not goat
meeeee
πππππππππππππππ
ππππniokotwe kwa sufuria ya tui la nazi
XXX
4. Traffic mlevi alisimamisha gari moja, alikuwa
anaendesha
mwanamke. Mama akapaki
pembeni akaona traffic anakuja
akiwa anayumba akajua yuko
bwax! Akafika mlangoni akamuuliza: mama naomba
leseni yako. Mama akasachi
kwenye mkoba wake
akatoa kioo kidogo cha
kujitazamia akampatia. Traffic
akakiangalia kwa muda wa dakika 2, akamwambia sasa si
ungesema kama wewe ni
traffic mwenzangu...! Haya
nenda.... Chezea konyagi wewe?
XXX
5. *Today I will be calling all the ants, rats, and
cockroaches in my house for a meeting so we can discuss how we will be sharing
the rent*. I don't know π€·π½♀ who owns the
house π‘ anymore.
XXX
6. *Anyone who is single in this group .Please inbox
me....I'm selling a single bed☺π*
XXX
*Ukiona mpenzi
wako mpya anataka kujua habari za mpenzi wako wa nyuma*
*Huyo hayupo kimapenzi ni mwandishi wa habari mwambie
sikuwahi kurecord πππ*
XXX
7. *JANA APA
HOME JENERETA LILIWASHWA ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA*
πΆπ½πΆπ½πΆπ½πΆπ½πΆπ½πΆπ½πΆπ½
XXX
8. *Hivi ongezeko la vijana wengi kuitana majembe
unadhani litainua sekta ya kilimo nchini*??
Kuna sigara navuta hapaπππππππ
XXX
9.
Boy:ww ni jua katika maisha yangu bila ww maisha
yangu ni mazito kama wingu nene litandalo asubuhi ww upo ndani ya moyo wangu
kama maji yatiririkayo kutoka mtoni kwenda baharini tafadhali nikubalie
Girl:Unanitongoza au unatabiri hali ya hewa?π€π€π€π€π€
XXX
10. Dada zangu ukipelekwa ukweni ukiwekewa nyama nneππππ wee kula moja tu πhuo ni mtegoπππππ
XXX
Vichekesho hivi vyote
vimechukuliwa kutoka mtandao wa WhatsApp. kwa bahati mbaya watunzi wake
wengi hawafahamiki kwa sura wala majina. Wale wanaofahamika majina yao yamewekwa, na wasiofahamika, majina hayakuwekwa kuepusha wizi wa mawazo.