Masomo kwa QT, Resiters na Wanafunzi Walio Shuleni

tunaftundisha wanafunzi wote kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita

Tunafundisha wanafunzi wote kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita. Kwa masomo yote ya sayansi, Sanaa na biashara. Pia nafasi chache zipo kwa ajili ya wanafunzi wa shule ya msingi na wale wa chuo (Open University).

Tupo kinondoni Mwananyamala mkabala na shule ya Sekondari Kambangwa.

Kwa walio mbali, masomo kwa njia ya WhatsApp yanatolewa.

Mawasiliano: Call and WhatsApp 0754 89 53 21
                      Call and WhatsApp 0653 25 05 66
#MwalimuMakoba

Popular posts from this blog

Jinsi ya Kuandika CV | Mfano wa CV Wasifu

Jinsi ya Kuandika Barua ya Maombi ya Kazi Mwaka 2024

Jinsi ya Kuandika Risala | Kiswahili Kidato Cha Nne