Masomo kwa QT, Resiters na Wanafunzi Walio Shuleni
Tunafundisha wanafunzi wote kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita. Kwa masomo yote ya sayansi, Sanaa na biashara. Pia nafasi chache zipo kwa ajili ya wanafunzi wa shule ya msingi na wale wa chuo (Open University).
Tupo kinondoni Mwananyamala mkabala na shule ya Sekondari Kambangwa.
Kwa walio mbali, masomo kwa njia ya WhatsApp yanatolewa.
Mawasiliano: Call and WhatsApp 0754 89 53 21
Call and WhatsApp 0653 25 05 66
#MwalimuMakoba
#MwalimuMakoba