‘SHARE’ MAKALA ZETU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII TUKULIPE!
Usiishie kupata ‘like’ nyingi
zisizokunufaisha kwa lolote, zigeuze ‘like’ zako kuwa pesa.
Unawezaje kulipwa kupitia ‘like’ zako?
Unaweza kulipwa pale unapo ‘share’
chochote kutoka blogu ya mwalimumakoba.blogspot.com. kwa kila ‘like’ 200
utalipwa shilingi 2,000 (elfu mbili). Hivyo kwa kila ‘like’ moja utakayopata,
ikiwemo ‘like’ yako, utalipwa shilingi 10. Hata
hivyo, pungufu ya ‘like’ 200 haitalipwa chochote.
Jinsi ya ku ‘share’ makala zetu
Hatua ya kwanza. Ingia katika
blog ya mwalimumakoba.blogspot.com. Chagua makala yoyote utakayoipenda, inaweza
kuwa riwaya, notsi za darasani, vichekesho au chochote utakachoona kinafaa.
Hatua ya pili. Ifungue habari
hiyo kisha shuka mpaka chini utaona ‘button’ ya ku ‘share’, ‘share’ habari
uliyoichagua katika mtandao wa ‘facebook’. Endapo utashindwa ku ‘share’ kwa
njia hiyo, tumia njia hii. Chagua makala unayoitaka, kama unatumia simu,
kandamiza kwa muda kichwa cha makala, yatakuja maneno, bofya kwenye ‘copy link
address’ kisha nenda moja kwa moja kwenye ukurasa wako wa ‘facebook’ kisha ‘post’.
Kama unatumia kompyuta, ‘right click’ kichwa cha makala uliyoichagua, yatatokea
maneno, chagua, ‘copy link address’ kisha nenda moja kwa moja mpaka katika
ukurasa wako wa facebook, ‘paste’ ‘link’ hiyo tayari kwa kui ‘post’.
NINI KINAFUATA BAADA YA HAPO?
Hesabu ‘like’ zinavyomiminika
katika habari uliyo ‘share’. Zikifika ‘like’ 200, ‘screen shot’, kisha picha
uliyoi ‘screenshot’ itume kwa njia ya WatsApp kwenda namba 0754 89 53 21. Baada ya masaa
mawili ya kuhakiki kama ulichokituma ni sahihi utatumiwa pesa yako katika namba
iliyotumika kutuma ile ‘screenshot’.
NINI FAIDA YETU KWA KUFANYA YOTE HAYA?
Faida yetu ni kupata watu
wengi wanaoisoma blogu yetu. Kwa kuwa katika blogu hii tunaandika makala
zinazowasaidia watu wote wakiwemo wanafunzi, wapenzi wa riwaya, wasoma
vichekesho, wapenda siasa, wapenzi wa lugha adhimu ya Kiswahili na watu wa
namna zote zisizoweza kuelezeka, basi ni furaha yetu kuona kile tunachoandika
kinawafikia watu hawa na si kuishia kuandika bila kupata wasomaji.
NAWEZA KUWA TAJIRI KWA KU ‘SHARE’ MAKALA ZENU?
Hapana. Huwezi kuwa tajiri
kwa ku ‘share’ makala zetu. Hatukuahidi kuwa bilionea kupitia mfumo huu, ila
tunakuahidi kukupatia pesa itakayotunisha pochi yako na kukutatulia matatizo
madogomadogo ya kiuchumi.
NATAKIWA KUANZA LINI?
Ooooh… ulitakiwa kuanza jana!
Hata hivyo bado hujachelewa, ANZA SASA!
Nasubiri ‘screenshot’ yako
yenye idadi ya like 200.