RIWAYA: MCHEZO WA JOGOO (sehemu ya nne)
Akakanyaga
mafuta na kuongeza kasi ili gari lifike nyumbani mapema.
Kona ya kwanza ilikatwa, ya pili, ya tatu alikuwa nyuma ya geti kubwa jeusi.
Akapiga honi, kijana wa getini akafungua, gari likaingia. Wakati wote huo,
Chekeche alikuwa amelala, mpini wake ukiwa umesimama wima kama msumari.
Suzi
aliegesha gari akamuamsha mzee, mzee akashtuka, alipogundua mpini wake
ulisimama, akajipinda kuficha aibu lakini alichelewa, mkono wa Suzi ulikwisha
fika ukatambaa kunako nyeti.
“Mzee unaonesha una hamu, naomba
nikate kiu yako kama hutojali!”
Ama
kweli mbuzi alifia kwa muuza supu, kwa mzee Chekeche wala haikuhitaji kumuomba,
yeye mpini wake uliingia kila shimo, Chekeche ndiye aliyeshikilia rekodi ya mtu
mwenye umri mdogo zaidi kufumaniwa na mke wa mtu Duniani, miaka 68 iliyopita
mzee huyu aliwahi kufumaniwa na mke wa baba yake mdogo, wakati huo Chekeche
alikuwa na umri wa miaka mitano tu! Watu wote hawakuamini, lakini ilitokea.
Shughuli
ilikwisha anza ndani ya gari, Chekeche alikuwa anachekecha kisawasawa, makelele
mengi yalipigwa na Suzi, ni muda mrefu ulipita hajapata kitu hicho. Gari nalo
liliitika kwa kunesanesa.
“sema jina langu!” chekeche alimrisha
akiendelea kusugua.
“chekeche… chekeche… chekeche…
chekec…h…e”
“sijasikia…” chekeche aliyeathiriwa na
ngono za kimagharibi alizungumza tena.
“cheke…
chek…chekech…Chekekekekekecheeee.” Suzi alijbu akiwa kalegea kwelikweli, kwa
mara ya kwanza katika maisha yake alifikishwa kileleni, alisikia utamu
uliopitiliza… wanaume wote aliowahi kukutana nao hawakuwahi kumfikisha,
walimwacha akiwa na hamu yake, lakini shababi barobaro wa miaka sabini na
mitatu, mheshimiwa sana mzinzi mtiifu Mzee Chekeche Chekecheo, aliweka rekodi.
Suzi
alikuwa hoi taabani akajinasua kutoka juu ya chekeche na kukaa katika kiti,
alipotazama mbele, hakuamini alichokiona. Alimuona mumewe aliyevaa suti nyeusi
akiwa kasimama imara, kashikilia bastola kwa mikono yake miwili, amelilenga
lile gari dogo walilokuwamo, kavimba kwa hasira kama nungunungu na machozi
kiasi yakimsongasonga.
Itaendelea jumapili...