RIWAYA: MCHEZO WA JOGOO (sehemu ya kwanza)
Chekeche mzee wa miaka sabini na
mitatu, mfupi kama kufuli, sura nyeusi ti mithili ya kipande cha giza, macho
madogo yameingia ndani na pua kubwa pana iliyopulizia hewa sharubu za kambale
zilizoota kiholela, chini ya sharubu palifuatiwa midomo midogo lakini
iliyoongea mfululizo kama goma la mtaa, alikuwa akimalizia kufunga zipu ya
suruali yake baada ya kumaliza kufanya zinaa na mke wa mwanajeshi!
Mayasa yeye alijilaza kivivu kwa uchovu
wa ile shughuli ya mzee Chekeche, jicho lake halikukatika kumuangalia mzee
yule.
“Kazi
yako sio ndogo Chekeche!” Alizungumza Mayasa.
“Leo
kawaida kabisa niite tena siku nyingine nikupe mpaka vya uvunguni kisura.”
Msichana hakujibu lolote, aliishia
kucheka tu, hakuamini uwezo wa mzee Chekeche kunako sita kwa sita.
Mzee alikwisha maliza kuvaa suruali
yake ya kuzinia, suruali ya jinsi na fulana iliyoandikwa ‘im not old, im
experienced.’ Akasogea mpaka alipojilaza mrembo Mayasa na kumpa busu matata,
lililomfanya Mayasa amng’ang’anie mzee, mzee akataka kujinasua, Mayasa akamkaba
zaidi kisha akanong’ona, “usiwe na haraka mzee… nataka tena!” mzee Chekeche
hakuwa mtu wa mchezomchezo, papo hapo mapigo ya moyo yakabadilika, akaivuta
fulana yake juu, fulana ikatii, akaitupa chini akawa amebaki kifua wazi, Mayasa
akaanza kupapasa kifua cha mzee, mzee hakujali, akaanza kuufungua mkanda wa
suruali ili aweze kuuchomoa mpini, hatimaye suruali nayo ilishushwa chini, mzee
akabaki akiwa na kaptura nyepesi, mpini ukiwa umesimama imara, Mayasa
akaukamata vyema ukiwa bado umo katika kaptura, mzee akayapiga kofi jepesi
makalio makubwa ya Mayasa, akazifakamia chuchu na kuanza kunyonya kama ndama,
msichana aligugumia kwa raha. Sasa mzee hakutaka kulaza damu, akaipindisha
kidogo kaptura yake na kuuchomoa mpini kisha akauelekeza kisimani, kabla
haujafika mlango ukavunjwa, haraka mzee akapandisha kaptura yake na kusimama
kwa hofu. Mayasa yeye alibaki mtupu akiwa hakumbuki alikoweka nguo.