VICHEKESHO VILIVYOTUFIKIA WIKI HII

HPUPIL: Exami~Nation.
(TEACHER )
TEACHER: One day our country will be corruption free. What tense is that?
PUPIL: Future Impossible Tense.
(TEACHER )
TEACHER: What do we call a small lizard in
English?
PUPIL: Lizzy baby.
(TEACHER )
TEACHER: Juma is climbing a tree to pick
some mangoes.
(Rewrite beginning with mangoes)
PUPIL: Mangoes, Juma is coming to pick you.
(TEACHER )
TEACHER: What do we call a male duck in English?
PUPIL: Mr daka.
(TEACHER
PUPIL: Would you punish me for something I did not do?
TEACHER: No! Of course not!
PUPIL: Good, I asked because I did not do my
homework.
(TEACHER )
Hii ni kazi ngumu kweli

Mahusiano ya kimarekani:
Siku ya 1= mahusiano
Siku ya 2= unakumbatia
Siku ya 3= unakumbatia tena
Siku ya 4= busu
Siku ya 5= denda
Siku ya 6= mapenzi
*********
Mahusiano ya kibongo:
Siku ya 1= unatongoza
Siku ya 2= unatongoza tena
Siku ya 3= unatongoza tena
Siku ya 4= anakubalii
Siku ya 5= mahusiano
Siku ya 6= unajarbu kukumbatia lakin inashndkana
Siku ya 7= unakumbatia
Siku ya 8= unajaribu kubusu lakn inashindkana
Siku ya 9= unabusu
Siku ya 10= denda
Siku ya 11= unajarb kufany mapenz lakn inashndkana
Siku ya 12= unajarbu kufany mapenz lakn inashndkana
Siku ya 13= unajarb kufany mapenz lakn inashndkana tena
Siku ya 14= UNABAKA.!!!!!!
XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX
Mnakumbuka huu wimbo wa utotoni?

Baishoo I love you bebi
(I swore I love you baby)

The baby to the sani
(You gave that to the sun)

The saa to ze ona
(The Sun threw me yonder)

~The ona to ze muuuni
(The yonder to the men)

The muuuni to ze bushibeya
(The men to the books quickly)

cherewani  1 2 3 & 4
(Say 1 2 3 & 4)

katakona
(That's a bonus)

Kweli hii lugha ya mzungu..
Kamwe tucmlaumu Harmoropa kujiita strong woman..
XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX

Joke
A girl was with her
father when she
saw her boyfriend
coming

GIRL: Have you come
to collect your book
titled "DADDY IS AT
HOME?" by Ngozi
Okafor

BOY: No, I want that
your hymn book
called "WHERE
SHOULD I WAIT FOR
YOU?"

GIRL: I don't have
that one but maybe
you should take
the other one titled
"UNDER THE MANGO
TREE" by
Chimamanda Adichie

BOY: Fine, but don't
forget to bring "I
WILL CALL YOU IN 5
MINUTES" while
coming to school

GIRL: I will also bring
you a new one too
titled"I WON'T LET
YOU DOWN" by
Chinua Achebe
Then;

DAD: Those books
are too many, will
he read them all

GIRL: Yes dad, he is
very smart &
intelligent

DAD: Okay don't
forget to give him
the one on the table
titled "I AM NOT
STUPID, I
UNDERSTOOD
EVERYTHING YOU'VE
BEEN SAYING" by
Shakespeare! And
also the one on the
dinning table titled
"IF YOU GET
PREGNANT PREPARE
TO GET MARRIED"
by Wole Soyinka

Hahahaha..... come on
don't leave it there
pass it on because
you never know
who needed just a
smile.
XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX

Wanawake bana
Utasikia wanasema nataka mwanaume ambaye atanilinda na kunijali
Halafu akitongozwa na mlinzi anakataa
XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX

Ushawahi vuta bangi alafu unarudi nyumbani unamwangalia baba ako ka dk 10 then
unamuuliza "ivi brother nishakuonaga wapi"?
XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX


Vichekesho hivi vimechukuliwa kutoka mtandao wa WatsApp. Kwa bahati mbaya watunzi wa vichekesho hivi hawakupata kuandika majina yao.


Popular posts from this blog

Jinsi ya Kuandika CV | Mfano wa CV Wasifu

Jinsi ya Kuandika Barua ya Maombi ya Kazi Mwaka 2024

Jinsi ya Kuandika Risala | Kiswahili Kidato Cha Nne