MKUMBO KAWAPIGA KIKUMBO WAFUATA MKUMBO

Lile gwiji la kuikosoa serikali na kuusema ukweli wa mambo bila kupindisha wala kutafuna maneno, Profesa Kitila Alexander mwana wa Mkumbo, limeteuliwa kuongoza wizara ya serikali!
Uteuzi huu ni pigo kwa wasomi washereheshaji, walioamua kuyapachika maarifa yao kwapani na kusifia kila kitu lengo lao likiwa ni kujipendekeza ili wapewe vyeo. Wao husifia tu hata pale mambo yanapokuwa ' bahut buree shit Bashite' .
Sasa wametoka patupu! Upambe kwao umekuwa nuksi, wamedoda na kudorora. AIBU.

Popular posts from this blog

SMS 20 za Vichekesho Zinazochekesha Sana

Maswali 100 Kujiandaa na Mtihani Usaili Walimu Masomo Yote

Jinsi ya kuandaa Somo na Kuwasilisha Oral Interview Ajira za Walimu