Posts

Showing posts from March, 2017

SAFARI YA KUUSAKA MWEZI (sehemu ya tatu)

Image
Minza alitusalimu, kisha akakaa pembeni, sikutaka kupoteza Muda niliingia ndani ya Mapandagila 214, tayari kwa safari ya kuusaka mwezi. Nilikaa ndani ya Mapandagila 214, nikaiwasha, ikaunguruma kama simba, nilitaka kuwaonesha kuwa mimi ni mtaalamu wa kuendesha Mapandagila ndani na nje ya nchi ya Lahaja. Taratibu nikairusha hewani, niliizungusha polepole katika uwanja ule wa nyumba ya mfalme, nikakunja kona na kuirusharusha kama mpira, halafu nikaitembeza kwa mwendo wa konakona mithili ya kiluwiluwi ndani ya maji, hapo nikaona mfalme na watu wake wakinipigia makofi. Sikutaka kulewa sifa, nikapiga gia kubwa, Mapandagila ikapaa juu, hapo nikatuma taarifa makao makuu,             “Mapandagila inatembea mwendo wa sauti tisa za kunguru dume!” Chombo kilikimbia kwa mwendo wa kasi mpaka kikaitoka Dunia. Nikasikia katika mtambo wangu wa mawasiliano watu wa makao makuu wakinipongeza kwa hatua hiyo. Nikatabasamu kwa ushindi md...

Discuss the impact of community in a school

Image
Community is a group of people living in the same place or having a particular characteristics in common. It is commonly considered as social unit (a group of people) who have the same thing in common such as norms, values, identity and often a sense of place that is situated in a given geographical area example, a village, town or neighbourhood. School is an institution disigned to provide learning space and learning environment for teaching of students under the direction of teachers. Communities in school involves the organization of school, boards, students, teacher, parents etc. with the same aims. The following are the impacts of communities in school as explained below. It has been shown to help at risk students stay in school and graduate. In 2011, communities in school realised the results of the most comprehensive evaluation of a dropout preventation organization over conducted. After 5 years of rigorous study, the result demonstrate that ‘CIS’ model of integrated stu...

What are grammatical categories/parts of speech?

Image
Grammatical categories are the class of units and features which share a common set of grammatical properties. parts of speech is a traditional class of words distinguished according to the kind of idea denoted and the function performed in a sentence. Example, nouns, adverbs, verbs, pronouns. 2.       Employing morphological (i.e inflectional and derivational properties and distributional criteria how would you identify nouns, verbs, adjectives and adverbs in a sentence? Give examples. ANSWER Morphological and distributional criteria are the criteria that are used to show how words are fimutins in a sentence. Words in a sentence has put into this two criteria so as to show how someone would identify parts of speech in a sentence. i. NOUN a) By employing morphological properties are would identify noun by looking on derivational and inflectional criteria. i. derivational criteria By employing the derivational criteria in English noun often and in ...

Main Argument in Re-Introducing People Without History

Image
Question: HI 260; Select one of the following readings on African historiography and make an appraisal of its main arguments in one page. 1. E.S. Atieno Odhiambo, “Re-introducing the people without History” 2. B. Swai, “The Balance-sheet Africanist Historiography” I am going to use reading no 1. By E.S. Atieno Odhiambo, “Re-introducing people without History” History views as the interpretation of the past in which serious efforts has been made to filter out what happened in the past. (Arthur Marwick) (1992 – page 3). European colonization subjects of African kingdoms and the stateless communities were doubted as “people without history”. They propose that, the history of Africa is began after interaction between Africans and Europeans (colonialism). European authorship from Hegel down to H.R Roper asserted that Africa constituted a blank darkness and “darkness was no suitable subject for History” (Trevor – Roper 1966;9). Colonial historiography presented European as the main acto...

Ubora na Udhaifu wa Uainishaji wa Ngeli za Nomino Kimofolojia

Image
Mgullu (1999) anafasili nomino kuwa ni maneno ambayo hutaja vitu. Anaendelea kusema, “kwa hiyo nomino hutaja majina ya watu, vitu, mahali, vyeo, dhana na hata tendo. Ndiyo maana wanaisimu wengine wanaziita nomino majina.” Kwa upande wa dhana ya ngeli, wataalamu mbalimbali wameweza kuifafanua kama ifuatavyo; Kapinga (1983) anasema neno ngeli limetoka katika lugha ya kihaya likiwa na maana ya kitu au vitu. Naye Mgullu (1999) anasema istilahi ngeli imechukuliwa kutoka lugha ya kihaya (Tanzania). Katika lugha ya kihaya, neno ‘ngeli’ lina maana ya aina ya kitu. Anaendelea kusema kwa kuinukuu kamusi ya Kiswahili sanifu (1981) kuwa ngeli ni utaratibu wa taaluma ya sarufi ya lugha katika kupanga aina za majina (nomino). TUKI (1990) wanasema, ngeli za nomino ni kundi moja la majina yaliyo na upatanisho wa kisarufi unaofanana na viambishi vya umoja na wingi vinavyofana. Naye Massamba na wenzake (2012) wanasema ngeli ni mgawanyiko wa aina mbalimbali za nomino katika mtazamo wa kisarufi k...