Imetosha Kusoma Njoo Tufanye Solving ya Mitihani ya Taifa

Alama ya pata

Imetosha Kusoma, Njoo Tupitie Mitihani ya Kidato cha Nne, Ufahamu Maswali yanavyotoka na Jinsi Yanavyojibiwa.

Mwanafunzi aliyekamilika kufanya mtihani wa Taifa, hupitia hatua nne:

1. Kufundishwa na walimu.

2. Kujisomea mwenyewe.

3. kufanya maswali na mitihani.

4. Kupitia au kufanya solving ya mitihani ya Kidato cha nne.

Muda uliobaki kuelekea kufanya mtihani wa kidato cha nne, unastahili kufanya mambo mawili:

1. Kujisomea kwa lengo la kujikumbusha.

2. Kufanya solving.

Unahitaji Solving? Wasiliana na Mwalimu Makoba kwa  Kugusa Hapa.

Popular posts from this blog

Jinsi ya Kuandika CV | Mfano wa CV Wasifu

Jinsi ya Kuandika Barua ya Maombi ya Kazi Mwaka 2024

Jinsi ya Kuandika Risala | Kiswahili Kidato Cha Nne