TUNDU LISSU APIGWA RISASI, POLISI WAMETHIBITISHA
Mbunge Tundu Lissu amepigwa
risasi leo hii akiwa ndani ya gari nyumbani kwake. Kwa sasa bado yuko hospitali
akiendelea na matibabu.
Jeshi la polisi limeeleza
kuwa bado linaendelea na uchunguzi ili kuwabaini waliohusika na tukio hilo.
Mkuu wa mkoa naye
alizungumza kuhusu upigwa risasi na kuwaomba wananchi kuwa na utulivu wakati huu
ambapo uchunguzi unaendelea kufanyika.
NA: MOWASHA| NGEME...
NA: MOWASHA| NGEME...