ALICHOKISEMA NDUGAI KUHUSU LISSU
Kuvamiwa kwa Mbunge wa
Singida Tundu Lissu kumewaunganisha wabunge kuzungumzia suala hilo.
Spika wa Bunge Ndugai,
amevitaka vyombo vinavyohusika na ulinzi na usalama wa nchi kukutana haraka ili
kujadili muafaka wa amani.
“Hii ni mara ya kwanza
katika historia ya nchi yetu mbunge kupigwa risasi mchana tena wakati vikao vya
bunge vikiendelea,” alisema Ndugai.
Pia imeelezwa kwamba kwa
sasa hali ya mbunge Tundu Lissu inazidi kuimarika huko matibabuni Kenya.