Posts

Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi Jeshi la Magereza

Image
Kitaalamu Zaidi, Tunaweza Kukuandikia Barua ya Maombi ya Kazi na CV Uitwe Katika Usaili na Upate Kazi. Barua Tsh. 5,000/= na CV Tsh. 9,000/=.  Gusa Hapa  Kuwasiliana Nasi. Tunaandika Mfano wa barua hii ya maombi ya kazi jeshi la magereza kwa sababu tumeshuhudia mifano mingi mtandaoni ambayo siyo sahihi na inawapotosha waombaji. Basi Mwalimu Makoba ili kuweka mambo sawa na ili kuwanusuru waombaji wasishindwe katika hatua za awali tu za barua, anakuja na mfano wa barua hii, ulio sahihi na unaokubalika kote. Jeshi la magereza limetoa nafasi za kazi kwa vijana wenye sifa. Kitu muhimu zaidi katika uombaji wa nafasi hizi ni barua ya maombi ya kazi. Kumbuka kwamba, barua ya maombi ya kazi ndiyo kipaumbele namba moja kitakachotumika katika kuchuja nani anafaa na nani hafai. Katika barua yako ya maombi ya kazi, hakikisha barua yako inakuwa tofauti na barua za watu wengine. Hakikisha unaandika au anaandika mtu. Epuka kabisa kuandikiwa barua yako na akili mnemba ( AI ), kwani lugha ya ...

SMS 20 za Mahaba Makali Kumtumia Mpenzi Wako

Image
Makala hii imeandikwa na wadhamini wetu: Tunakuletea meseji kali za mahaba unazoweza kumtumia mpenzi wako na kumfanya awe na furaha muda wote. Meseji hizi za mahaba unaweza kuzituma kwa mpenzi wako muda wowote, unaweza kumtumia asubuhi, mchana, jioni na hata usiku. Meseji hizi, zitalifanya penzi lenu lizidi kuwa imara siku zote. Meseji hizi za mapenzi unaweza kuzituma kwa njia ya meseji za kawaida, WhatsApp , na njia nyinginezo. Unaweza kutuma meseji moja kila siku. Kwa kipindi cha siku 20 tu, penzi lako litabadilika na kuwa bora mno. 1.  Nimekuchagua wewe, ninafuraha kwamba na wewe umenichagua mimi. 2.  Ninashukuru kuwa nawe , ninatabasamu, ninacheka na mara chache ninalia. 3.  Mpenzi ninayejivunia , asante kwa kuwa bora kwangu siku zote. 4.  Nina bahati kubwa kuwa katika mapenzi na wewe rafiki yangu. Nakupenda sana mpenzi. 5.  Hakuna ninachotaka zaidi ya kukufanya wewe mpenzi wangu mwenye furaha siku zote. 6.  Uzuri wako, akili zako na utu , vinanifanya...

Pre Form One Course 2025 | Pre Form One Notes

Image
Mwalimu Makoba Open School inawatangazia Masomo ya Pre Form One . Masomo haya yanawahusu wanafunzi wote ambao wamemaliza darasa la saba. Gharama zetu ni Tsh. 50,000/= (elfu hamsini tu) kwa kozi yote ya miezi mitatu. Tunapatikana Dar es Salaam , Kinondoni , Mtaa wa Kambangwa karibu na De Mag Hotel. Wanafunzi wa pre form one watafundishwa masomo ( Pre form one subjects ) haya: English course (Pre form One English Course) ili kuwafanya wafahamu lugha ya kiingereza. Masomo mengine ni: Physics , Chemistry , Mathematics , Biology , Geography na History . Katika kituo chetu tuna notes nzuri za pre form one (pre form one notes) ambazo zimeandaliwa vyema kueleweka kwa wanafunzi wetu. Faida za Masomo ya Pre Form One Masomo ya pre form one yanamsaidia mtoto aliyemaliza darasa la saba, awe tayari na masomo yake ya kidato cha kwanza pindi atakapoanza elimu yake ya sekondari. Kumbuka kwamba, wanafunzi wengi husoma masomo yao kwa lugha ya Kiswahili , wanapoanza sekondari, lugha hubadilika ghafla...

Nafasi za Kazi za Udereva | Mwandishi Mwendesha Ofisi

Image
Kitaalamu Zaidi, Tunaweza Kukuandikia Barua ya Maombi ya Kazi na CV Uitwe Katika Usaili na Upate Kazi. Barua Tsh. 5,000/= na CV Tsh. 9,000/=.  Gusa Hapa  Kuwasiliana Nasi. Zimetoka nafasi za kazi mpya zinazohusisha udereva na mwandishi mwendesha ofisi . Unapoomba nafasi hizi zingatia kuwa na CV inayokubalika pamoja na barua ya maombi ya kazi iliyoandikwa vizuri na iwe imewekwa saini yako. Nakusisitiza kuwa, usitumie akili mnemba (AI) kama Gemini na ChatGPT katika kuandika CV na barua yako. Miundo yake inafanana na kutambulika kwa wepesi, kama huwezi kuandika mwenyewe, ajiri mtu akuandikie na sissi tupo kwa ajili ya kazi hiyo. Nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu Nanyumbu wametoa nafasi za kazi za mwendesho ofisi na dereva. 1.  Mwandishi mwendesha ofisi daraja la II nafasi 4 2.  Dereva daraja la II nafasi 5 Namna ya kuomba na sifa zinazotakiwa, soma hapa . Nafasi za kazi Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji Kigoma wametoa nafasi za kazi za uder...

Nafasi za Kazi Wiki Hii | Ajira Mpya Wiki Hii

Image
Kitaalamu Zaidi, Tunaweza Kukuandikia Barua ya Maombi ya Kazi na CV Uitwe Katika Usaili na Upate Kazi. Barua Tsh. 5,000/= na CV Tsh. 9,000/=.  Gusa Hapa  Kuwasiliana Nasi. Soma: Nafasi za Kazi za Udereva | Nafasi za Kazi za Mwandishi Mwendesha Ofisi Zipo nafasi za kazi za uhakika zimetoka kama ninavyokuletea hapa: Kwanza kuna nafasi za kazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Makete. Nafasi hizo zinahusisha: Dereva daraja la II nafasi 12 Kuomba na kusoma maelekezo, fungua hapa . Pili ni nafasi za kazi kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi . katika kazi hizi anahitajika: Dereva daraja la II nafasi 3 Ili kuomba nafasi hizo, fungua hapa . Tatu ni nafasi za kazi kutoka halimashauri ya wilaya ya Momba.  Zimetangazwa kazi hizi: Dereva daraja la II nafasi 6 Ili kuomba na kufahamu sifa na vigezo, soma zaidi hapa . Nne ni nafasi za kazi kutoka Halmashauri ya Wilaya ya MKuranga .  Nafasi zilizotangwa ni: Dereva daraja la II nafasi 5 Msaidizi wa kumbukumbu daraja la II nafasi 4 I...

Vichekesho 10 Vinavyochekesha Mpaka Mbavu Ziume

Image
Kama unataka kuwa mwenye afya bora, basi hakikisha unacheka , siku inayopita ikiwa na vicheko ndani yake ni siku bora mno.Kucheka ni jambo muhimu katika maisha. Kucheka huongeza kinga katika mwili wako, husaidia mwili kutoa homoni ya furaha aina ya ‘endorphins’, kucheka hulinda moyo, husaidia katika mmeng’enyo wa chakula, hupunguza hasira na kucheka kunaweza kuongeza hata siku zako za kuishi. Leo tunakuletea vichekesho 10, ambavyo ni lazima vikufanye ucheke, ufurahi na uwe mwenye afya bora. 1.  Nilikuwa na mjomba yangu, yeye alikuwa akiniambia nisiogope kitu kwa sababu ni askari . Siku moja nilikamatwa, nikampigia simu kumuita, alipofika, nikamwambia awaambie askari wenzake waniachie. Mjomba akanijibu kwa sauti ya upole, “Mjomba sina uwezo, mimi siyo askari polisi, mimi ni askari wa jeshi la wokovu kanisani kwetu, labda nikufanyie maombi.” 2.  Mlio kwenye mahusiano, mkiambiwa ‘take care’ na wapenzi wenu huwa mnajibuje? Msaada tafadhali. 3.  Nimeshuhudia mjomba akianguka k...

Mtihani wa Kiswahili Kidato cha Nne 2024 NECTA Majibu

Image
Sehemu A (Alama 16) 1. Katika kipengele I hadi X chagua herufi ya jibu sahihi kisha andika herufi ya jibu kwenye kijitabu chako cha kujibia. (i) Vifuatavyo ni vyanzo vya misimu, isipokuwa: A Tanakali sauti au milio A B Sayansi na Teknolojia C Shughuli maalumu D Utani katika jamii E Mabadiliko ya historia (ii) Neno lenye mofu ya mtendwa ni lipi kati ya haya? A Aliyetembea B Alimkimbilia B C Alivyotembea D Atakayetembea E Ametembea (iii) Msaada wako umenifaa sana. Asante! Neno "Asante!" ni aina gani ya neno? A Nomino B Kivumishi C Kielezi D Kitenzi E Kihisishi E (iv) Tamathali ipi ya semi hukipa kitu kisicho binadamu sifa ya ubinadamu? A Taniaba B Tashihisi B C Tashibiha D Takriri E Tabaini (v) "Wanafunzi wa Kidato cha Pili wamepigiwa ngoma." Kauli hii inaonesha hali gani? A Kutendana B Kutendeka C Kutendewa C D Kutendwa E Kutendea (v) "Wanafunzi wa Kidato cha Pili wamepigwa ngoma." Kauli hii inaonesha hali gani? A Kutendana B Kutendeka C Kutendewa D Kuten...