Posts

Showing posts with the label vichekesho

VICHEKESHO 10 VILIVYOTUFIKIA WIKI HII

Image
1.    *A successful man is the one who makes more money than his wife can spend*. *A SUCCESFUL WOMAN IS THE ONE WHO CAN FIND SUCH A MAN* πŸ˜‚ #funnyquote XXX 2.    Mchaga​​ hata apate kazi bank bado atasema yupo ​kibaruani​. Acha sasa ​​mhaya​​ apate kazi katka mashine ya kusaga na kukoboa; utaskia ​i work as a crucial engineer in a monocotyledon finalizing company​ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ #sijamtaja_mtu. XXX 3.    *SAMAHANI NILIKUWA NAULIZA HIVI MATEMBELE KWA KIINGEREZA YANAITWAJE* πŸ€“πŸ€“πŸ€“ XXX 4.    Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata. Swali la 1: Taja vyakula vitatu ambavyo ukienda hotelini umelipiwa utapenda kula (marks 1) WAVULANA wakajaza; wali, ugali, mihogo. WADADA wakajaza; burger, pizza, egg chop. Swali la 2: Eleza jinsi ya kupika kila chakula ulichotaja hapo juu. (marks 99) Wacha wadada waanze kuhangaika kufuta majibu ya mwanzo! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

VICHEKESHO VILIVYOTUFIKIA WIKI HII

Image
😏😏😏😏😏   *YAAN WADADA WA SIKU HIZI BHANA, UNAKUTA YUKO BAFUNI ANAOGA HALAFU NYWELE KAZIACHA CHUMBANI..*. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚   πŸƒπŸ½πŸƒ XXX  *mzee kanitumia sms "njoo upike ugali mboga tayari" kwa haraka haraka zangu nikajibu OWA badala ya POA*  *saiz nipo nyumbani hapo naona mabegi yangu ya nguo yote yapo nje itakuwa mzee anafanya usafi ndani...* XXX  *_BANK bhana wapuuzi kweli sie tunaweka mamilion yetu tunawaamini ... lakini wao pen ya sh.100 wanaifunga kamba inamaana hawatuamini πŸ˜πŸ˜πŸ˜€πŸ˜ŠπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜œ _* XXX  *Maisha Bhana!! Yani We Ukivuta Subira Kuna Mwingine Anavuta Bangi* XXX  I started fearing smoking weed,when I saw my neighbour's son dancing to the sound of my generator. ..When I switched it off he asked me who sang that song ? Because I was afraid he would beat me , I answered " Yamaha featuring Petrol" πŸ˜‚πŸ˜œπŸ˜œ XXX  MKE;(kachukua simu akaanza kuongea kwa hasira),mume wangu uko wapi mpaka mida hii saa 4 za usiku? MUME;Mke wangu unalikumb

VICHEKESHO VILIVYOTUFIKIA WIKI HII

Leo tupo kwenye Taxi tunaelekea Mjini Traffic akasimamisha gari letu, akamuuliza Dereva "Mbona plate namba za nyuma na mbele ni tofauti !?. Dereva akamjibu, 'Kwani ww sura yako na makalio yako vinafanana !?. Wote tukaanza kucheka ... Tumepandishwa kwy defender lao nadhani wanatupeleka kupata lunch ! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ XXX πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€’ IVI KWA MFANO MKEO AKIWA NA KICHWA KIKUBWA KULIKO WW BADO TU UTAITWA KICHWA CHA FAMILIA? 🀣🀣🀣🀣🀣 XXX ......... Jaman Hivi hakuna Mtu yeyote Mwenye *Picha* ya *WAHENGA*   Anitumie Mimi Nawaskiaga Tu Cjawahi kuwaona    πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ XXX   Ile siku nitaona mwanamke akiskuma mkokoteni bila shati.....ndio nitaamini kuwa #what_a_man_can_do_a_woman_can_do_better πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wacha niende hivi narudi baadae πŸƒπŸΌπŸƒπŸΌπŸƒπŸΌπŸƒπŸΌ XXX   Mdada:- beby nimefukuzwa kwetu Jamaa:- maskini pole Mdada:- Hapa Hata sijui ntafanyeje Jamaa:- panda Gari za mbagala zinazopitia Tazara ulale kwenye FoleniπŸƒπŸΎπŸƒπŸΎ XXX   Mwalimu: *Alex, s