NAFASI ZA PRE FORM ONE KWA WANAFUNZI WALIOMALIZA DARASA LA SABA

Masomo ya Pre - form one yameanza kwa wanafunzi waliomaliza darasa la saba. Wazazi na walezi mnatangaziwa kuwaandikisha watoto wenu kituoni kwetu, SAMATA EDUCATION CENTRE. Pia, Tunafundisha wanafunzi wote kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita. Kwa masomo yote ya sayansi, Sanaa na biashara. Vilevile nafasi chache zipo kwa ajili ya wanafunzi wa shule ya msingi. Tupo kinondoni Mwananyamala mkabala na shule ya Sekondari Kambangwa. Mawasiliano: Call and WhatsApp 0754 89 53 21 Call only 0653 25 05 66