Posts

Showing posts with the label kiswahiliadvanceexam

Mtihani wa Kiswahili 2 kwa Wanafunzi wa Kidato cha Sita 2

Image
Endapo unataka kufanya mtihani huu ili usahihishwe na Mwalimu, zingatia mambo haya: 1. Mtu yeyote na popote alipo anaruhusiwa kufanya mtihani huu. 2. Fanya mtihani huu kwa kutumia aina yoyote ya karatasi. 3. Ukimaliza, piga picha karatasi hizo kisha zitume WhatsApp kwenye namba ya Mwalimu Makoba, 0754 89 53 21. Bofya hapa kusoma maelekezo yote. Muda: Saa 3 Sehemu A (Alama 20) Fasihi kwa Ujumla 1.  Kwa kutumia mifano katika jamii ya Tanzania, jadili mambo manne muhimu yanayoweza kumfanya mwandishi apoteze uhuru wake. 2.  Ni kwa namna gani fasihi inatofautina na sanaa zingine kama ususi, uchongaji na uchoraji. Toa hoja tano. Sehemu B (Alama 20) Ushairi 3.  “Washairi wengi huimarisha jamii zao kwa kuyataja maovu.” Tetea usemi huu kwa kutoa hoja nne kwa kila kitabu katika diwani mbili ulizosoma. 4.  “Viongozi hawana huruma na watu wao.” Jadili ukweli wa kauli hii kwa kutoa hoja nne kwa kila kitabu katika diwani mbili ulizosoma. Sehemu C (Alama 20) Riwaya

Mtihani wa Kiswahili 1 Kwa Wanafunzi wa Kidato cha Sita 2

Image
Endapo unataka kufanya mtihani huu ili usahihishwe na Mwalimu, zingatia mambo haya: 1. Mtu yeyote na popote alipo anaruhusiwa kufanya mtihani huu. 2. Fanya mtihani huu kwa kutumia aina yoyote ya karatasi. 3. Ukimaliza, piga picha karatasi hizo kisha zitume WhatsApp kwenye namba ya Mwalimu Makoba, 0754 89 53 21. 4. Subiri mtihani wako usahihishwe, Urudishiwe na ufanyiwe masahihisho. 5. Gharama ya mtihani huu ni shilingi 2,000/= (elfu mbili). Namba za malipo ni: M – Pesa 0754 89 53 21 (Daud Mhuli) na Tigo pesa 0653 25 05 66 (Daud Makoba) “Kwa kuwa lengo la mtihani huu ni kutaka kujua uwezo na mapungufu ya mwanafunzi ili aweze kupewa mbinu mbadala za kumsaidia kufaulu mtihani wake wa mwisho, kuangalizia majibu hakuna faida yoyote kwani lengo la mtihani si kubaini nani atakuwa wa kwanza na yupi atakuwa wa mwisho!” It is far more honorable to fail than to cheat. Sasa fanya mtihani wako… Muda: Saa 3 SEHEMU A (Alama 20) UFAHAMU Jibu maswali yote katika sehemu

Mtihani wa Kiswahili 2 kwa Wanafunzi wa Kidato cha Sita 1

Image
Endapo unataka kufanya mtihani huu ili usahihishwe na Mwalimu, zingatia mambo haya: 1. Mtu yeyote na popote alipo anaruhusiwa kufanya mtihani huu. 2. Fanya mtihani huu kwa kutumia aina yoyote ya karatasi. 3. Ukimaliza, piga picha karatasi hizo kisha zitume WhatsApp kwenye namba ya Mwalimu Makoba, 0754 89 53 21. 4. Subiri mtihani wako usahihishwe, Urudishiwe na ufanyiwe masahihisho. 5. Gharama ya mtihani huu ni shilingi 2,000/= (elfu mbili). Namba za malipo ni: M – Pesa 0754 89 53 21 (Daud Mhuli) na Tigo pesa 0653 25 05 66 (Daud Makoba) “Kwa kuwa lengo la mtihani huu ni kutaka kujua uwezo na mapungufu ya mwanafunzi ili aweze kupewa mbinu mbadala za kumsaidia kufaulu mtihani wake wa mwisho, kuangalizia majibu hakuna faida yoyote kwani lengo la mtihani si kubaini nani atakuwa wa kwanza na yupi atakuwa wa mwisho!” Sasa fanya mtihani wako… Tumia saa 3 Maelekezo: Fanya swali moja kutoka kila kipengele Sehemu A (Alama 20) Fasihi kwa Ujumla 1.  Kwa kutumia mi

Mtihani wa Kiswahili 1 kwa Wanafunzi wa Kidato cha Sita 1

Image
Endapo unataka kufanya mtihani huu ili usahihishwe na Mwalimu, zingatia mambo haya: 1. Mtu yeyote na popote alipo anaruhusiwa kufanya mtihani huu. 2. Fanya mtihani huu kwa kutumia aina yoyote ya karatasi. 3. Ukimaliza, piga picha karatasi hizo kisha zitume WhatsApp kwenye namba ya Mwalimu Makoba, 0754 89 53 21. 4. Subiri mtihani wako usahihishwe, Urudishiwe na ufanyiwe masahihisho. 5. Gharama ya mtihani huu ni shilingi 2,000/= (elfu mbili). Namba za malipo ni: M – Pesa 0754 89 53 21 (Daud Mhuli) na Tigo pesa 0653 25 05 66 (Daud Makoba) “Kwa kuwa lengo la mtihani huu ni kutaka kujua uwezo na mapungufu ya mwanafunzi ili aweze kupewa mbinu mbadala za kumsaidia kufaulu mtihani wake wa mwisho, kuangalizia majibu hakuna faida yoyote kwani lengo la mtihani si kubaini nani atakuwa wa kwanza na yupi atakuwa wa mwisho!” Sasa fanya mtihani wako… Tumia saa 3 Sehemu A (Alama 20) Ufahamu Jibu maswali yote katika sehemu hii 1.   Soma kwa makini kifungu cha habari kifua

Mtihani wa Kiswahili 2 Kidato cha Sita| April 2018

Image
JINSI YA KUUFANYA MTIHANI HUU Mtu yeyote na kokote aliko anaruhusiwa kufanya mtihani huu. Fanya mtihani huu kwa kutumia aina yoyote ya karatasi. Ukimaliza, piga picha karatasi hizo kisha zitume WhatsApp kwenye namba ya Mwalimu Makoba, 0754 89 53 21. Subiri mtihani wako usahihishwe, Urudishiwe na ufanyiwe masahihisho. Gharama ya mtihani huu ni shilingi 2,000 (elfu mbili) tu. Namba za malipo ni: M – Pesa 0754 89 53 21 na Tigo pesa 0653 25 05 66 “Kwa kuwa lengo la mtihani huu ni kutaka kujua uwezo na mapungufu ya mwanafunzi ili aweze kupewa mbinu mbadala za kumsaidia kufaulu mtihani wake wa mwisho, kuangalizia majibu hakuna faida yoyote kwani lengo la mtihani si kubaini nani atakuwa wa kwanza na yupi atakuwa wa mwisho!” Mwalimu Makoba| Mwalimu wa Waalimu na Wanafunzi| Mwalimu wa Ushindi! Unataka kufanya mtihani huu na hujaelewa taratibu zake? Wasiliana na Mwalimu Makoba kwa 0754 89 53 21. Sasa fanya mtihani wako. Tumia masaa matatu kuufanya