History 2 Online Examination for Form Six 1

Endapo unataka kufanya mtihani huu ili usahihishwe na Mwalimu, zingatia mambo haya: 1. Mtu yeyote na popote alipo anaruhusiwa kufanya mtihani huu. 2. Fanya mtihani huu kwa kutumia aina yoyote ya karatasi. 3. Ukimaliza, piga picha karatasi hizo kisha zitume WhatsApp kwenye namba ya Mwalimu Makoba, 0754 89 53 21. 4. Subiri mtihani wako usahihishwe, Urudishiwe na ufanyiwe masahihisho. 5. Gharama ya mtihani huu ni shilingi 2,000/= (elfu mbili). Namba za malipo ni: M – Pesa 0754 89 53 21 (Daud Mhuli) na Tigo pesa 0653 25 05 66 (Daud Makoba) “Kwa kuwa lengo la mtihani huu ni kutaka kujua uwezo na mapungufu ya mwanafunzi ili aweze kupewa mbinu mbadala za kumsaidia kufaulu mtihani wake wa mwisho, kuangalizia majibu hakuna faida yoyote kwani lengo la mtihani si kubaini nani atakuwa wa kwanza na yupi atakuwa wa mwisho!” Sasa fanya mtihani wako… Time: 3 hours Time: 3 hours Section A (40 Marks) Answer two (2) questions from this section. 1. In six points, validate th